Milipuko Mikubwa yarindima Kibamba...

Kibamba ndo wapi wakuu!!? Mtoa mada unaelezea mvua inavonyesha lakini umeshindwa kuelezea location ya kibamba!! Very pathetic!!

duh!..hii ndo JF!
Nadhani kijana ame asume wote ni wa daslamu...kumbe humu ni CHANGANYIKENI..ushirombo pia tumejitupiamo humu.
 
kama mvua ilikuwa inanyesha jibu lake hizo ni radi zimepiga na tanesco wamezima umeme kwa sababu wana vifaa chakavu so wanaohofia vinaweza kuungua sababu ya radi. mia
 
milipuko inayodhaniwa kuwa ni ya mabomu inaripuka sasa hivi maeneo ya Kibamba.
Umeme umekatika na hali ni ya wasiwasi...

Mlipuko ni wa 4 sasa.
Nje manyunyu ya Mvua yanadondoka huku kukiwa hakuna ripoti kamili.
Maeneo ya Karibu kuna kambi ya jeshi...

the sagga continua...

Hiyo milio nimeisikia majira ya alfajili kati ya saa kumi kamili na kumi na moja kasorobo pande za kibamba/ kibaha but sounded like a destruction of a big building and not bomb blast!!
 
jamani kuna tetesi za kulipuka kwa mabomu usiku wa kuamkia leo,yeyote mwenye kujua/kusikia chochote atujuze.
 
Hebu Laleni Acheni woga Transformer zimezidiwa zimebutuka moja baada nyingine ....somalia mtakaa kweli nyinyi ?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Nisaidieni kupata tenda ya kuagiza transfoma, ni imara kabisa kutoka Iran lol!
 
Yalikuwa ni mambomu kweli kwani kwa ndani kuna kambi na wenyewe wanadai walikuwa wanayategua ila najiuliza kama walikuwa wanayategua ama kuyalipua kwanini hawakutoa taarifa kwa wananchi wanategua kimya kimya??

Kibamba jana watu wamelala kimashaka sana sababu ya hiyo milipuko na wanadai wataendelea kuyategua kwaniinasemekana yameisha muda wake wa matumizi kwa hiyo tusubiri kuona mengi.
 
Tuombe ya Mbagala yasijirudie au mama wa Kimalawi ameamua kufanya kweli wakati rais wenu yuko akitanua Ghana. Mie simo shauri yenu mnamchokoza mama mwenye misuli kuliko wanaume laini wa kibongo. Tupeni update basi. Kama ni mibomu ya jeshi sijui Hussein Mwinyi atanusirikaje. Maana itajengeka dhana kuwa wizara yake ya ulinzi sasa kazi yake ni kuua wabongo wasio na hatia. Akiambiwa ajiuzulu analeta za kuleta.

Husein mwinyi sio waziri wa ulinzi
 
Still unconfirmed news? Think by now we should have confirmation of what happened or vice versa.
 
Tuombe ya Mbagala yasijirudie au mama wa Kimalawi ameamua kufanya kweli wakati rais wenu yuko akitanua Ghana. Mie simo shauri yenu mnamchokoza mama mwenye misuli kuliko wanaume laini wa kibongo. Tupeni update basi. Kama ni mibomu ya jeshi sijui Hussein Mwinyi atanusirikaje. Maana itajengeka dhana kuwa wizara yake ya ulinzi sasa kazi yake ni kuua wabongo wasio na hatia. Akiambiwa ajiuzulu analeta za kuleta.
Mkuu huna updates?? Jamaa mbona alishaondolewa wizara hiyo muda mrefu??
 
Aiseeeee baba yangu uko kwenu tanzania akuishi vituko..mara rushwa mara migomo poleni

sisi tunaendelea na mbege zetu huku
 
Back
Top Bottom