Ningependa kuamini kuwa serikali inaposema haina pesa ya kuongeza mishahara haimaanishi wizara nyingine hazipati fungu la kutoshaTanzania kaa chonjo; hayo maneno ya Lowassa kuwa jeshi liko tayari inawezekana siyo kweli, kwani tunajua kuwa serikali ilishakiri zaidi ya mara tatu kuwa hina pesa: kwa waalimu, kwa madakatari na kwa wafanyakazi wote. Tuna uhakika kuwa kuna kipindi wafanyakazi wa serikali wanacheleweshewa mishahara yao kwa vile serikali haina pesa.
Tuombe ya Mbagala yasijirudie au mama wa Kimalawi ameamua kufanya kweli wakati rais wenu yuko akitanua Ghana. Mie simo shauri yenu mnamchokoza mama mwenye misuli kuliko wanaume laini wa kibongo. Tupeni update basi. Kama ni mibomu ya jeshi sijui Hussein Mwinyi atanusirikaje. Maana itajengeka dhana kuwa wizara yake ya ulinzi sasa kazi yake ni kuua wabongo wasio na hatia. Akiambiwa ajiuzulu analeta za kuleta.
Shindwa....Mbagala, Gongolamboto, Kibamba...
Nasubiria Lugalo....
meeen.! Jf live 4ever, ina mana safu za hapo kibamba jf imevuna member 1 tu??
Hahahah..mkuu unaishi maeneo ya Mwenge??Shindwa....
Hahahah..mkuu unaishi maeneo ya Mwenge??
Kama huishi lazima utakuwa na frem ya duka pale..
Hahah..usihofu mkuu, hapo pako salama sana.umeonaeeee...yaani kama sheikh yahaya...
duh..utakuwa unaishi Mtukula kagera wewe.
Wakuu kiukweli ni mlipuko mmoja tu umetokea na ni wa transfoma ndio maana umeme nao umekatika......lakini kwa sababu hili ni jukwaa la siasa tunaweza kusema ni milipuko 5 au 6 ili tupate sababu ya kuwalaumu . ....
Poleni labda wanafanya mazoezi ya vita si lowassa kasema tumejipanga kivifaa?
MODS nao wanabeba sehemu ya lawama maana zinawekwa habari za kupotosha kwa makusudi wanakaa kimya wapotoshaji wangekuwa wanalimwa ban bila mzaha mtu angejishauri mara mbili kabla ya kupost kitu, mods acheni mzaha!na hii ni tatizo kubwa sana......watoaji wa mada hu-mislead watu......na watu nao hukurupuka kama kuku waangaliavyo mwewe...."kwa jicho moja" na kuanza kuchangia UPOTOFU lwa mapovu ya kutosha
Habari sahihi ikija kinyume chake ni aibu kwa JF
Mtoa mada anaandika kana kwamba JF ni ya watu wa Dsm tu. Ukitoa taarifa lazima iwe complete. Hata kama ni mtu wa Mutukula, Mulongo, Bugarama, n.k. waelewe location ya tukio.
Any way hali ikoje sasa??