naomba kuuliza kama bodi ya mikopo kwa elimu ya juu (HESLB) huwa inatoa mikopo kwa watu wanaotaka kuchukua Master. Kama wanatoa hiyo mikopo kwa Master je, utaratibu wa ku apply ni sawa na wa Bachelor? na vp kuhusu vigezo!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.