Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,882
Beauty is subjective...the list is ok in YOUR OWN perspective.
Beauty is subjective...the list is ok in YOUR OWN perspective.
Mtu kwao Mkuu.Mpendwa mbona umeivuta kama mabehewa ya treni?!!
Alaaa !! mcheza kwao hutunzwa.... Ndokezee whats spesho hauu!!Mtu kwao Mkuu.
hiyo Mwanza sijui imekaaje juu ya Arusha.
hiyo Mwanza sijui imekaaje juu ya Arusha.
mara kuna watoto wa ukweli,angalia akna lisa jensen,akna rashida wanjara na wengne kibao..tembelea pale musoma ujionee.
Hii top ten inawalakini!!! Hakuna manyara wala mkoa mmoja wapo wa zbar???
nani kakudanganya kuwa dar kuna watoto wazuri?
Na sijajua Morogoro na Mara imekaaje juu ya Kilimanjaro......?......
Hivi anatujua vizuri huyu kweli.......?...
Sio naongea taratibu.......ni kwamba hata sisi wenyewe tunajijua........hatusubiri kuelezwa na mtu.........