Jmn Bukoba vp?
nyie mnaongoza kwa katelero tu....
huu uzi ungependeza kama ungekua na picha
Kwa utafiti wangu,hii ndo list ya mikoa kumi yenye totoz za ukweli na asilimia zake kwenye mabano
6.mara-70%
Na sijajua Morogoro na Mara imekaaje juu ya Kilimanjaro......?......
Hivi anatujua vizuri huyu kweli.......?...
Sio naongea taratibu.......ni kwamba hata sisi wenyewe tunajijua........hatusubiri kuelezwa na mtu.........
Tanga woyeeeee ila hujaitendea haki arusha & manyara kuna totoz za kinyaturu na kimburu
Moshi maeneo ya Kibosho, Machame, Marangu, Mwika, Mamba, Uru, Kiruwa, na kwingineko kote kupo vyema ile mbaya na fikiri tunaongoza kwa warembo yani hapendwi mtu tunajali pesa baba yangu..
Umeiona hii?????