last Commando
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 234
- 301
Hivi hawa betpawa wanashida gani? Nashindwa ku withdrawal money
Labda tunaenda nje ya plan mara nyingi. Naona hilo ndo tatizoHawa mbwa kabisa
Sijui na Mimi nimekuwaje wakati walinikoseshaga Hela walivyo droo na vfl Bochum kipindi kilee
Acha kupeleka stress zako nyumbani, umebet kimyakimya kwa kuificha familia, hayo maumivu yafiche kwao pia.Kwanini nibeti Kaka? Kwanini?
Mikeka yoooote ya maana imeenda umebaki mmoja wa kushinda elfu 4 ambao niliuweka chap nikiwa kwa office ili badae niuekee stake kubwa sinikajisahau! Yaani huo tu ndo upo tena unaelekea kushinda, nimejaribu kuudelete ata usishinde lakini ndo haiwezekani. Sitaki ata kuuona!
Hasara niliyokula leo nimeamua nipitie kabisa kanisani jioni hii ili kesho nilale tu siku nzima! Na nione yeyote nyumbani kwangu anawasha TV kesho aangalie mpira, nione!
Mzee ndo umechanganyikiwa kabisa baada ya kufungwa leo au...sasa utawithdraw vipi 300 wakati Wuthdraw ya BetPawa inaanzia 1000..Hivi hawa betpawa wanashida gani? Nashindwa ku withdrawal moneyView attachment 2803886
Hawakunyima mzee Cardifd na stoke wametoka 0:0 mzee hakuna goal lolote kwa hiyo mkeka umechanika 🤣🤣🤣nikasema nijaribu live bet nikaweka jero.... hao mashoga wakaninyima pesa!View attachment 2803889
Fernebance mechi nne zilizopita na anayecheza nae kapigwa mbili kashida moja na droo moja yale yale la leipzg
Nimejaribu kisaasi hicho ili nipime uaminifu waoMzee ndo umechanganyikiwa kabisa baada ya kufungwa leo au...sasa utawithdraw vipi 300 wakati Wuthdraw ya BetPawa inaanzia 1000..
Hivi hawa betpawa wanashida gani? Nashindwa ku withdrawal moneyView attachment 2803886
Okay relaxHapo unataka kuwithdraw sh ngapi sasa?
Hiyo mia nne unayoiona apoHapo unataka kuwithdraw sh ngapi sasa?
Hapo unataka kuwithdraw sh ngapi sasa?
Kagongwaa 3 kiufupii Kanji leo atalipaaa hela zoteeeNa fenerbahçe huyo
daah 432
Kapata penalty moja katupia tayari. Wait tuone atachomoa zote tatu?????Kagongwaa 3 kiufupii Kanji leo atalipaaa hela zoteee
Usicheke mkuu vipigo vinachanganya akiliHapo unataka kuwithdraw sh ngapi sasa?