R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Majina yao ni
Corporal Yusuf Said
Private Anthony Danielf
Sergeant Julius Chacha.
mmeonyesha uzalendo wa kweli kutetea waafrika wenzetu sudan,
President Jakaya Kikwete ametuma salamu wa rambirambi kwa mkuu wa majeshi General Davis Mwamunyange kutokana na vifo Lieutenant Colonel (rtd) Adam Hussein Mwandu Makwaia (62)