Mifumo ya kidunia ilishaamua mwanaume aishi kwa kukandamizwa na kufanyiwa ulaghai/ udanganyifu

Tatizo lako wewe unapenda vita hata ambapo hakuna ulazima. yaani hapa wewe shida yako ni kulazimisha tu mume aingie jikoni kupika. mke wangu anaenda kazini kwaiyo anakosa muda wa kutimiza majukumu ya nyumbani tutaajiri house girl sio lazima mimi nioshe vyombo au nipike
Hoja yangu ni kwanini majukumu ya nyumbani yaendelee kuonekana ya mwanamke peke yake ilihali ya kutafuta pesa yanaonekana ni ya wote, si lazima mwanaume aingie jikoni sawa mnaweza mkaweka msaidizi lakini mbona pamoja na kuweka msaidizi bado huwa mnataka mwanamke asimamie au asaidie na asipofanya hivyo visingizio vya kuchepuka vinaanza, usijiongelee wewe tu hapa tuongelee uhalisia uliopo kwa wanaume wengi yani wanaume wengi wanataka lazima wake zao wajihusishe kwenye majukumu ya nyumbani hata kama nao wanatafuta pesa utasikia "sasa nimeoa mke wa kazi gani"
 
Kwa majibu hayo, kama umeolewa, basi aliyekuoa akapimwe akili.
Kakojoe ulale nyang'au wewe...
Mwanaume kuweza kuwa na familia ni kipimo cha ukomavu wa akili.

Ila vivulana vipumbavu kama nyie msivyoweza hata kuongoza familia mnakaa kupiga piga kelele humu jf

Unavimbisha na mapua ati siwezi oa my brother nyokonyoko... umeshikiwa akili wewe???? Bure kabisa

Watoto wangu wa kiume hawawezi kuwa mapimbi hivi sababu baba yao sio boya na haongozwi na mihemko

Kiongozi wa nchi tu lazima awe na mke au mume, halafu zero brain unakuja kudharau wanawake

Mama yako alijitesa tu na limimba lako

Cc Natafuta Ajira
 
Hoja yangu ni kwanini majukumu ya nyumbani yaendelee kuonekana ya mwanamke peke yake ilihali ya kutafuta pesa yanaonekana ni ya wote, si lazima mwanaume aingie jikoni sawa mnaweza mkaweka msaidizi lakini mbona pamoja na kuweka msaidizi bado huwa mnataka mwanamke asimamie au asaidie na asipofanya hivyo visingizio vya kuchepuka vinaanza, usijiongelee wewe tu hapa tuongelee uhalisia uliopo kwa wanaume wengi yani wanaume wengi wanataka lazima wake zao wajihusishe kwenye majukumu ya nyumbani hata kama nao wanatafuta pesa utasikia "sasa nimeoa mke wa kazi gani"
Kama mwanaume anataka mwanamke aende kazini hapo hapo afanye majukumu ya nyumbani huo ni unyanyasaji. Ikiwa wote mnaenda kazini ni busara mkaajiri hpusegirl kwa ajiri ya masuala ya nyumbani mke atabaki kuakikisha tu kama kazi zimefanyika kwa usahihi lakini suala la mke kumtii mumewe ilo halimpotezei mwanamke muda wala gharama kwaiyo huwezi kusema eti kwa sababu mke nae analeta kitu mezani basi takwa la kumtii mumewe liondolewe.
 
Jipe moyo
Ninayo mingi sana nishaona wanawake wenye akili timamu zaidi ya mmoja wameolewa at 37 bila kushinda huko kwa watumishi hewa......
Lakini wapo mabinti wadogo late 20s wanakesha kuomba kwenye hayo makanisa.

Wanaojitambua hawaendi kulilia ndoa huko,
Na hayo makanisa yamejaa wanaolilia ndoa na wenye matatizo ya ndoa.

Wenye akili wanasali sehemu zenye mifumo na taasisi za kueleweka huwezi kuwakuta kwa hao watumishi wa mchongo.
 
Jipe moyo
Ila tu anzeni kumake peace....
Kama ambavyo kuna wimbi la single mama sasa hivi,
Basi kuna wimbi la single mama wa kununua mbegu lipo njiani, na vile tu nchi haijaruhusu sperm banks, watu wangeanza kununua.

Mpaka maroboti ya Elon yaje kufanya kazi, muda huo wanawake wanapambana na dildo, huku vibomba vya toilet bado kuna bisexual

Lakini mwanaume mpaka ununue malaya sababu wale wanaojidanganya hawataki ndoa halafu wameweka wanawake kinyumba ni ugonjwa wa akili kama magonjwa ya akili mengine
 
Usihofu, nature itajishape tu kubalance mambo, kila kitu kina matokeo yake.

Mfano, sasa hivi kuna idadi ya vijana wapo tu wanamaliza vyuo hawana kazi. Kazi zinashikwa na mabinti. Baada ya muda jamii inakuwa na wanaume masikini na wanawake wenye uwezo kiuchumi. Nini kinafata?

Uhaba wa wanaume wenye uwezo wa kumtunza mwanamke, uwepo wa vijana mlenda mlenda na legelege na tegemezi, ongezeko la single mothers, jamii itaanza kuona umuhimu wa uwepo wa wanaume.

Ulinzi wa mtoto wa kiume utaongezeka. Semina za malezi ya mtoto wa kiume na kelele za muandae baba ajae zinashamiri, ajira zitamtazama mwanaume n.k n.k Ni suala la muda tu.
Hili limeshaanza kufanyiwa kazi taratibu.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ila tu anzeni kumake peace....
Kama ambavyo kuna wimbi la single mama sasa hivi,
Basi kuna wimbi la single mama wa kununua mbegu lipo njiani, na vile tu nchi haijaruhusu sperm banks, watu wangeanza kununua.

Mpaka maroboti ya Elon yaje kufanya kazi, muda huo wanawake wanapambana na dildo, huku vibomba vya toilet bado kuna bisexual

Lakini mwanaume mpaka ununue malaya sababu wale wanaojidanganya hawataki ndoa halafu wameweka wanawake kinyumba ni ugonjwa wa akili kama magonjwa ya akili mengine
Sawa
 
Kwanza kabisa mgawanyo wa mali ni kwa sababu mkiachana mara nyingi mke ndio hubaki na watoto, sasa unataka watoto wako waendelee kuhudumiwa na nani maana kumbuka mama ataendeleza gurudumu la kuwalea, kama mume atabaki na watoto basi hakutakuwa na mgawanyo wa mali unless kama mlichuma wote hapo kugawana kupo pale pale
Kama tuna mtoto mmoja halafu ni mkubwa wa kuweza kukaa na baba? Kama hatukupata mtoto? Mali tugawane za nini? Kama tukigawana mali na watoto wakabaki kwa mama, unafikiri nitatakiwa kutoa pesa za kula watoto?

Kingine ulisema sababu ya kugawana mali ni muda alioutumia mwanamke kunihudumia, ikiwemo kufanya kazi za ndani, eti na kunipa K, sasa mbona kwa sasa umehamisha ajenda umekimbilia ajenda ya kukaa na watoto?
 
Tena sayansi inasema mwanamke ndo anasikia raha zaidi ya mwanaume, ndomaana anatoa sauti kuliko mwanaume.
Kama yeye hapati hiyo raha aisee.
Akati mkigegedana na yeye anaskia utam vile vile na usipomtimizia anakusaliti nje vile vile.
Huyu mtu asikupotezee muda kichwa bumunda hik
 
Kama mwanaume anataka mwanamke aende kazini hapo hapo afanye majukumu ya nyumbani huo ni unyanyasaji. Ikiwa wote mnaenda kazini ni busara mkaajiri hpusegirl kwa ajiri ya masuala ya nyumbani mke atabaki kuakikisha tu kama kazi zimefanyika kwa usahihi lakini suala la mke kumtii mumewe ilo halimpotezei mwanamke muda wala gharama kwaiyo huwezi kusema eti kwa sababu mke nae analeta kitu mezani basi takwa la kumtii mumewe liondolewe.
Si unaona sasa hapo ndipo mnapofeli hivi mnadhani ni upi msingi wa mwanamke kumtii mwanaume, yani wewe kwa akili yako unadhani mwanamke anatakiwa amtii mume kwa kigezo gani, tatizo la mke kumtii mume siyo lazima liwe kupoteza muda tu bali kushindwa kujiamulia mambo ambayo mke anataka ila mume hataki
 
Chukulia mfano suala la sex, ile ni starehe ya wote lakini dunia imekua brainwashed kwa kuaminishwa mwanaume anafanyiwa favor ambayo in return inatakiwa kulipia posho, hii posho ya sex wadada wa mjini siku hizi wanaiita matunzo.

Mambo yapo ivyo karibu kila nyanja zinazohusu masuala ya kijinsia na mahusiano. Taasisi zinatetea haki za watoto ukiangalia mkazo mkubwa wameuweka kwa watoto wa kike.

Wanandoa mkiachana kama mali ni za mwanaume zinapigwa pasu kwa pasu ila kama ni za mwanamke hapo mwanaume hapati chochote. Wanasema sababu ni kwamba mwanamke ana haki ya kufidiwa muda na jitihada zake kipindi cha ndoa cha kushangaza muda na gharama alizotumia mwanaume kwenye ndoa iyo iyo hapati fidia yoyote.

Ukiangalia mchakato mzima before, during and after marriage mnufaika mkubwa ni mwanamke lakini jamii imetengenezewa fikra ionekane ananufaika ni mwanaume, ndo hapo mwanaume anatishiwa akiwa bachelor atakapoumwa hakuna wa kumuuguza utafikiri uko kwenye ndoa wanaumwa wanaume tu.

Kwenye suala la DNA napo nishawahi kusikia majibu yakionesha mtoto sio wa mwanaume husika basi mwanaume uyo atadanganywa kuwa ni mtoto wake, wanasema wanalinda masilahi ya mtoto.

Ukija kwenye nasaa za kimaisha tunaambiwa mwanaume kaumbiwa mateso mara kitanda hakizai halamu. Kwamba nibebe mzigo ninaoweza kuuepuka kwa sababu mimi mwanaume? kwamba mwanamke afanye umalaya wake nilee mtoto sio wangu, eti kitanda hakizai halamu.! That is totally bullshit.

Yapo mengi sana yanamkandamiza mwanaume lakini dunia imepotoshwa yaonekane ni kawaida tu. Suala hili halikuonekana tatizo uko zamani kwa sababu mwanamke alikua inferior na mtiifu sana kwa mwanaume.

Kutokana na sera ya 50/50 kushika hatamu kwa sasa wanawake wamekua wabinafsi, wamepandindikizwa chuki na feminists kwamba wanaume ndio wabaya wao hii imewafanya kuwa na roho za kikatili mbaya zaidi washaona mifumo ya kidunia ina loopholes ambazo wakizitumia kimkakati zinaweza kuwapa pesa rahisi au kupata huruma kwa mabaya waliyoyafanya.

Mifano ipo mingi familia ya mzee mengi nusura ipigwe na kitu kizito na klyn, ukiangalia kwa jicho la kosheria inawezekana klyn inawezekana akawa sawa lakini kwa utashi wa kiubinadamu akaonekana ni matapeli.

Dunia ya sasa kwa mwanaume yoyote mwenye ndoto kubwa za kufika mbali kiuchumi basi ndoa ni mtego ambao unaweza kuja kuiangusha himaya yako aliyoijenga kwa miongo mingi.

Kupitia sera ya 50/50 wanawake washapewa access zote za kiuchumi, kijamii na kisiasa binafsi sioni kama kuna haja tena ya kuwapa victim status kama zamani.

Mifumo ifumuliwe mwanamke nae aangaliwe kama predator kama ilo haliwezekani basi ni wajibu wetu wanaume kuishi na wanawake kwa tahadhari kubwa sana ili tusitumike kama levarage.

Mwanaume tambua ya kwamba mpenzi sio mama yako atakaekua upande wako katika kila hali siku zote za maisha yake. Mpenzi anaweza kusitisha mahusiano muda wowote bila kujali umejitoa au umempambania kwa kiasi gani na hakuna utakachoweza kumfanya.

Hivyo basi ukiamua kumwinua mpenzi wako(kumsomesha, kumfungulia biashara, kumtafutia kazi, kumjengea nyumba n.k) basi fanya hivyo kwa kiasi ambacho unaweza kuhimili maumivu ya kukipoteza.

Mwanaume usiweke malengo yako kwa mpenzi/mke, hitaji lako kwa mwanamke liishie kwenye kampani ya kijinsia na kuendeleza kizazi chako tu.
Hizi taasisi za kimagharibi na serikali zao zinazojiingiza kwenye masuala ya jamii zetu kila siku ndio zinaleta huu ujinga ambao matokeo yake ni maadili, ndoa na familia kuvurugika.
Na bado ushetani mwingi unakuja kuvuruga jamii.
 
Kama tuna mtoto mmoja halafu ni mkubwa wa kuweza kukaa na baba? Kama hatukupata mtoto? Mali tugawane za nini? Kama tukigawana mali na watoto wakabaki kwa mama, unafikiri nitatakiwa kutoa pesa za kula watoto?

Kingine ulisema sababu ya kugawana mali ni muda alioutumia mwanamke kunihudumia, ikiwemo kufanya kazi za ndani, eti na kunipa K, sasa mbona kwa sasa umehamisha ajenda umekimbilia ajenda ya kukaa na watoto?
Sasa mbona unauliza maswali ambayo majibu yake yako hapo hapo kwenye comment uliyoiquote ni kwamba hujaelewa au umeamua tu kukaza fuvu, hizo nilizotaja awali na hiyo ya kubaki na watoto zote ni sababu za kugawana mali sheria itazingatia tu baadhi ya vitu kama mali mlizochuma pamoja na muda mliodumu pamoja, na zaidi mgawanyo wa mali unazingatia muda alioutoa mke kufanya hayo majukumu kiasi cha kushindwa kupata muda mwingi wa kujitafutia kipato kama wewe kitakachofanya aweze kujikumu pindi mtakapotengana
 
Wenye jeuri kama wewe, tutaendelea kuwatomba na kuwazeesha bila kuwaoa mpaka akili zikae sawa, kisha mwishoni tutaoa wenye nidhamu na unyeyekevu.
Kakojoe ulale nyang'au wewe...
Mwanaume kuweza kuwa na familia ni kipimo cha ukomavu wa akili.

Ila vivulana vipumbavu kama nyie msivyoweza hata kuongoza familia mnakaa kupiga piga kelele humu jf

Unavimbisha na mapua ati siwezi oa my brother nyokonyoko... umeshikiwa akili wewe???? Bure kabisa

Watoto wangu wa kiume hawawezi kuwa mapimbi hivi sababu baba yao sio boya na haongozwi na mihemko

Kiongozi wa nchi tu lazima awe na mke au mume, halafu zero brain unakuja kudharau wanawake

Mama yako alijitesa tu na limimba lako

Cc Natafuta Ajira
 
Sasa mbona unauliza maswali ambayo majibu yake yako hapo hapo kwenye comment uliyoiquote ni kwamba hujaelewa au umeamua tu kukaza fuvu, hizo nilizotaja awali na hiyo ya kubaki na watoto zote ni sababu za kugawana mali sheria itazingatia tu baadhi ya vitu kama mali mlizochuma pamoja na muda mliodumu pamoja, na zaidi mgawanyo wa mali unazingatia muda alioutoa mke kufanya hayo majukumu kiasi cha kushindwa kupata muda mwingi wa kujitafutia kipato kama wewe kitakachofanya aweze kujikumu pindi mtakapotengana
Hizo ulizotaja awali ikiwemo kazi za nyumbani na kunipa K, nimekupinga kuwa hazina mantiki kwasababu ni jukumu la mke kufanya kazi za nyumbani na kunipa K, kwanini nimlipe nusu ya mali? Mlitegemea K anipe nani? Na raha ya sex tunapata wote, kwanini nikulipe? Au ulikuwa unajiuza kwangu? Pia mwanaume pesa alizopoteza kuanzia kulipa mahari na kugharamia harusi send-off na kumtunza mwanamke, anafidiwa na nani? Assume tumekaa miaka mitatu hatuna mtoto, sasa hoja hizo hujajibu mpaka sasa.
 
Si unaona sasa hapo ndipo mnapofeli hivi mnadhani ni upi msingi wa mwanamke kumtii mwanaume, yani wewe kwa akili yako unadhani mwanamke anatakiwa amtii mume kwa kigezo gani, tatizo la mke kumtii mume siyo lazima liwe kupoteza muda tu bali kushindwa kujiamulia mambo ambayo mke anataka ila mume hataki
Tunarudi pale pale kwenye gender roles, suala la mke kumtii mume sio utumwa ni gender roles tu.
 
Back
Top Bottom