Mkishaona hilo... wababa waleeni watoto wenu katika njia ya maadili ya kiume, lakini hii system ya kuzaa kama mifugo watoto wanalelewa na wamama tu, tena wamama walio busy mnazidi kuwa na kizazi cha wanaume wasiojiaminiYou see right there hakuna aliyepo top, but in the end mwanaume ndio kichwa cha familia. But anakuwaje if mtoto wa kike ndio anapewa powers za kusimama kwneye hiyo nafasi huku mwanaume akiachwa apambane kivyake? It a bot unfair