jeneralikevin
JF-Expert Member
- Jun 24, 2020
- 237
- 172
Karibuni sana
Hakuna wanaofanya kwa Dar?????
Hakuna wanaofanya kwa Dar???
kwa sasa tumeanzia MWANZA kwanzaHakuna wanaofanya kwa Dar?????
Hapo waseme tu wanauza vyeti kwa Tsh 600,000,otherwise huo muda na hizo contents haipo sawa.Mafunzo siku kumi,wanafunzi wataelewa kweli?
Mnatumia mbinu gani mtu aweze kusa vyote hivyo ndani ya siku chache na akatoka Yuko vizuri na cheti akapata?
sijui kwanini ni kama naihurumia laki 6 yangu kwa hizo siku 10 ukizingatia kibongo bongo
Hao ni wapiga pesa kwa mbinu ya urubunifuMbona youtube ni chuo tosha,labda uwe mvivu.
Kuna watu wanadhani excel unaweza tu kupewa formula za kila kitu alafu ukawa umemaster.Kumbe wangejua,excel ni msitu mzito.Utaelewa upande wa mahitaji yako ya kila siku tu.Mengine hautakuja kuyajua.
Hatabwaliotengeneza wenyewe hawaijui excel yote.Kila mtu anajua kaeneo kake tu
karibuni sana
karibuniKaribuni sana