Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
Hivi kwanini watu hawapendi kutumia Microsoft edge kuliko google chrome??
Unajua wanachokifanya Microsoft edge Sasa
Kampuni ya Microsoft kupitia program yao ya Microsoft Kwa muda Mrefu wameweka mfumo wa watu kuweza kutoa maoni Kwanini watu wengi wanatumia Google chrome badala yao.
Kama ukiwa unatumia window 10 au 11 alafu ukafungua program ya Microsoft Edges ukiwa unapakua program ya Google chrome ndani yake Kuna ujumbe unatokea Kwenye page ya Google chrome wanakuomba usiache kutumia Microsoft edge.
Microsoft wameamua kuandaa survey kwa watu kwa kutoa maoni yao Kwanini watu wengi wanatumia program ya Google chrome badala ya Edge ili waweze kujua mapungufu yao waweze kutatua.
Unatumia program gani Microsoft edge au google chrome ??