Microchip ni nini na hufanyaje kazi?

Timiza

JF-Expert Member
Nov 29, 2017
5,129
4,411
Jamani tuache ushabiki na kutofuatilia haya Makala kutoka kwenye magezeti

Kuhusu microchip ni kuwa inaitwa RFID (Radio frequency Identification) amabyo inawekwa kwenye mwili wako kwa ajili ya mambo yafuatayo

* Kwanza kabisa ni utambuzi wa vitu vyako ambayo vipo kwenye dikitali mfano bank cards, National Id ,public transport card, Library card na card nyimgine ambazo kumbukumbu zako zimehifadhiwa
* Urahisi wa kupatikana
* Mfano Passport, IDs na leseni ya kuendesha gari au mitambo –unaweza kutambuliwa na wakaguzi bila hat ww kuonyesha chochote kupitia hiyo microchip ambayo imepandikizwa mwilini mwako so kama umetekwa wanaweza kujua ulipo kwa kutumia hizo details zako ambazo zitakuwa zinalink na mawasiliano ya wana usalama popote kama viwanja vya ndege,au kwa kutumia mifumo ya utambusi wanayotumia askari wetu wanapokukuandikia faini barabarani
* Club membership access control
* Hii ni kuwa free kwenye club ambayo wewe ni member unaingia bila kusubiria kwenye foleni maana unaweza kufungua milango na mageti bila kuweka chochote kama namba au kuscratch kama kadi ww ukifika inafunguka na pia inakupa uweze kwa kucontrol vifaa vingi kwa electronic
*

*

* Inaweza kkuweka kumbuka kuhusu habari zako za afya mfano dawa unazotumia na taarifa zote kuhusu afya na kulink ya vitu ambavyo vinaweza kukumbusha mfano simu
* Pamoja na mambo mengine ya kucotrol vitu vya electronic

Kubwa Zaidi ni kuwa hiyo microchip kazi yake kubwa ni link taarifa zako kwenye vitu mbalimbali .Technology ukua kila siku,Kazi ya microchip ni kama transponder kuditect location na position ya MTU,kitu,mnyama,kifaa,nk then kupitia RFID taarifa utumwa kwenye satellite, kupitia vifaa vingine ndipo picha na sauti unaswa na kwenda kuhifadhiwa kwenye saver ya kampuni husika uliyoingia nayo mkataba wa ulinzi wa mali, au kifaa chako,au taarifa za afya yako au mnyama.Ni nzuri kwa ufuatiliaji wa taarifa za mifugo yako kupitia simu nyumbani unawezajua taarifa za afya ya wanyama wako,gharama utegemea na aina ya chip,kama ni visible au invisible.Za mwilini uwekwa kwa njia ya sindano au kufanyiwa operation ndogo juu ya ngozi kwenye kiungo upendacho.Zipo chip za aina nyingi sana kuanzia saizi ya punje ya mtama,nk hadi zile kubwa unazoweka kwenye simu,TV,bag,laptop,kwenye Magari,nk.Chips Hazina uhusiano na chapa 666,chapa ya mnyama iko kinabii zaidi spiritual sio physical.
Screenshot_2018-10-23-09-37-52.jpeg
Screenshot_2018-10-23-09-33-55.jpeg
Screenshot_2018-10-23-09-29-23.jpeg
Screenshot_2018-10-23-09-29-06.jpeg
Screenshot_2018-10-23-09-27-25.jpeg
Screenshot_2018-10-23-09-29-06.jpeg
Screenshot_2018-10-23-09-27-25.jpeg
Screenshot_2018-10-23-09-21-40.jpeg
Screenshot_2018-10-23-09-20-40.jpeg
 
Duu noma teknolojia inakuwa sana huku kwetu wachache sana wana uelewa wa hii kitu
 
inafahamika, swali ni je, kweli anayo? au ndio mbinu anataka tumia kuelezea yaliyompata halafu tuamini vilirekodiwa na microchip? maana angepatikana mapema zaidi kwani si alingekua anasomeka alipo kwenye ramani?
 
The first microchip was invented in 1974, since that time processing capabilities continue to increase at an exponential Raye,.
Microchips are the brains of every electronic devices in existence.
From watches ,to calculators, to satellites,to computer's, these small chips account for the conveniences that make so many tasks easier,.

Microchips arw integrated circuits that have been etched onto silicon chips, or wafers.


The integrated circuits transfer electric currents or signals, which are converted into instructions by a receiving device,.


Microchips offer countless uses, in multiple engineering and technological areas, including physics, science,optics and biology,Progress made in one area has a progressive effect on others,
One particular field that possess great promise is photonics ,.


The silicon content of the chip,together with wires and transistors, create a highly conducive environment for transferring electricity.,
 
Wenzetu wameendelea, kwa afya cha saidia kama umelink na daktari wako unaweza ukaujua mwili wako nini ule ni upunguze,dalili za magonjwa possible kutokea,kwa ulinzi pia,ila si Salama kwa wachepukaji
Ndo chapa zenyewe za ibilisi hizo, yaani umfungie binadamu mwenzio kifaa uwe unamfuatilia kama ng'ombe
 
Wenzetu wameendelea, kwa afya cha saidia kama umelink na daktari wako unaweza ukaujua mwili wako nini ule ni upunguze,dalili za magonjwa possible kutokea,kwa ulinzi pia,ila si Salama kwa wachepukaji
Ndo kufanywa ng'ombe kwenyewe huko, watu wanakuwa na server zao huko majuu wanawakuwa wanawachora tu. Siwezi kubali kufungiwa hizo chapa za ibilisi
 
Microchip inaweza kutuma picha Na video za sehemu alipo MTU aliewekewa hiyo chip?
Ile inaonesha sehemu ulipo ila kwa maswala ya picha na video ni mpaka zichukuliwe kutokea angani kupitia satellite au kwa kutuma camera za upelelezi eneo hilo au pia zingine zinaweza kuunganishwa na camera za vitu vya nje kama saa, vifungo vya nguo, nywele au hata chain za kuvaa nk;
 
Microchip is only for purposes of Identification and distance are limited about 0 to 10 centimeters it is not GPS microchips are not tracking devices. They are radio-frequency identification (RFID) implants that provide permanent ID . Because they use RFID technology, microchips do not require a power source like a GPS that means you can't track some one like people saying example to day jamuhuri gazeti say
 
Back
Top Bottom