Nakumbuka tukiwa wadogo miaka ya themanini kulikuwa na mapori makubwa sana kuanzia Tegeta, Bunju, Mbezi Beach, Wazo Hill, Kunduchi, Mbweni, Boko. Kulikuwa na swala na sungura wengi sana. Siku moja mimi na marehemu mjomba wangu tulienda Madale kuwinda Swala.
Hili suala la Ngorongoro lichukuliwe sana kwa uzito. Lazima tuangalie future.
Serikali ijitahidi sana ili wamasai wenyeji wapate ufumbuzi.
Hili suala la Ngorongoro lichukuliwe sana kwa uzito. Lazima tuangalie future.
Serikali ijitahidi sana ili wamasai wenyeji wapate ufumbuzi.