sungura

Zimbabwean music is heavily reliant on the use of instruments such as the mbira, Ngoma drums and hosho. Their music symbolizes much more than a simple rhythm, as the folk and pop style styled music was used as a symbol of hope for Zimbabweans looking to gain independence from Rhodesia. Music has played a significant role in the history of Zimbabwe, from a vital role in the traditional Bira ceremony used to call on ancestral spirits, to protest songs during the struggle for independence. The community in Zimbabwe used music as a tool to voice their oppression when they didn't have the weapons to fight back. In the eighties, the Music of Zimbabwe was at the center of the African Music scene thanks to genres such as Sungura and Jit. However, several performers were banned by state TV and radio leading to the closing of several music venues.

View More On Wikipedia.org
  1. Iziwari

    Bei ya gunia la mashudu ya mafuta ya alizeti: Chakula bora cha kuku Nguruwe Sungura na wanyama wengi

    Bei ya gunia la mashudu ya mafuta ya alizeti: Chakula bora cha kuku Nguruwe Sungura na wanyama wengi. Best Price for Suck of Sunflower meal or Seeds. Mashudu ya mafuta ya alizeti ni chakula cha mifugo ambacho kina thamani kubwa sana. Chakula hiki kina weza kutumika na wanyama kama Kuku, Bata...
  2. L

    Kijana wa China atengeneza kazi za sanaa ya kukata karatasi kusherehekea Mwaka Mpya wa Jadi wa Kichina wa Sungura

    Kijana wa China Chang Yangyang, ambaye ni mrithi wa utamaduni usioshikika wa China anaonyesha kazi zake za sanaa ya kukata karatasi zinazohusu mada ya Sungura katika kukaribisha Mwaka Mpya wa Jadi wa China wa Sungura.
  3. Shy land

    CCBRT walivyotatua tatizo la mtoto wangu la mdomo sungura

    hii ni kabla Habari za siku nyingi wakuu na members wore wa JF. Ndugu wana JF wezangu tarehe 25 mwezi wa sita mwaka huu, wife alijifungua mtoto wa kilo 6 na mtoto akawa na tatizo la ugonjwa wa mdomo sungura. Nashukuru Mungu hadi sasa mtoto anaendelea vizuri, nimeazisha thread hii kwa lengo...
  4. Lady Whistledown

    Ulemavu wa Mdomo wa Sungura hausababishwi na Laana au kuchepuka

    Laana na kuchepuka ni miongoni mwa imani potofu zinazoaminika katika jamii kuwa zinasababisha ulemavu wa mdomo sungura na mdomo wazi kwa watoto. Mdomo sungura na mdomo wazi ni ulemavu unaosababishwa na hitilafu ya kimaumbile ambayo mfumo wa mdomo unashindikana kuungana ipasavyo wakati wa...
  5. BUSHMEN 88

    Ufugaji sungura na magonjwa yanayowakumba nini cha kufanya?

    Naombeni kujua ni dawa gani naweza kumpa sungura anayepiga chafya na utando mweupe machoni na ni dalili za ugojwa gani.
  6. Shy land

    Mtoto wangu kazaliwa na kilo 6 na tatizo la mdomo sungura

    Habari za siku nyingi wakuu na members wore wa JF. Ndugu wana JF wezangu tarehe 25 mwezi wa sita mwaka huu, wife alijifungua mtoto wa kilo 6 na mtoto akawa na tatizo la ugonjwa wa mdomo sungura. Nashukuru Mungu hadi sasa mtoto anaendelea vizuri, nimeazisha thread hii kwa lengo la kuweza moja...
  7. M

    Miaka ya themanini Wazo Hill, Bunju, Boko na Tegeta kulikuwa na swala, digidigi na sungura wengi sana. Sasa hivi hawapo

    Nakumbuka tukiwa wadogo miaka ya themanini kulikuwa na mapori makubwa sana kuanzia Tegeta, Bunju, Mbezi Beach, Wazo Hill, Kunduchi, Mbweni, Boko. Kulikuwa na swala na sungura wengi sana. Siku moja mimi na marehemu mjomba wangu tulienda Madale kuwinda Swala. Hili suala la Ngorongoro lichukuliwe...
  8. Jidu La Mabambasi

    Mhariri Mtendaji wa gazeti la Uhuru, Ernest Sungura CCM mlifanya usaili?

    Gazeti la Uhuru lina Mkurugenzi Mtendaji wake Ernest Sungura. Kwa wale wasio mfahamu huyu mheshimiwa, alikuwa akiongoza vile vile TMF, Tanzania Media Fund. TMF ilikuwa ikitoa fedha za wafadhili katika vyombo vya habari kuendeleza uweledi wa The Free Press TMF chini ya Sungura ilikuwa kichaka...
  9. N

    Ufugaji wa Sungura

    Nimefuga Sungura kwa miezi saiz ya vitatu lakini kila wanapozaa watoto huda Mars tu wanapochangamka na hawajaonyesha dalili za mgonjwa hivi tatizo hasa ni nini mana natumia nguvu nyingi lakini napoteza.
  10. Livingson1

    Aina za ujasiriamali zinazoweza kumtoa kijana kimaisha

    1. ufugaji wa kuku. Ufugaji wa kuku wa kienyeji ama kuku wa kisasa. Faida zake zinatokana na uuzaji wa mayai, nyama ya kuku, kuku wenyewe, vifaranga, mbolea n.k _ Ndege wengine wenye faida kama za kuku ni kanga, bata wa aina tofauti, njiwa, kware n.k 2. Ufugaji wa mbuzi. Mbuzi faida zake...
  11. chizcom

    Sanamu ya Nelson Mandela: Nini maana ya sungura kuchongwa ndani ya sikio?

    Baada ya kifo cha Mandela, Serikali iliiamua kujenga mnara wake huko Pretoria kama moja ya kumuenzi. Lakini sanamu hii ukiangalia kwa umakini kichwani utaona kwenye sikio ndani kuna sungura. Je, maana ya sungura kuwa ndani ya sikio ni nini? ==
Back
Top Bottom