Miaka yote hiyo ccm walikuwa wapi? kuleta maendeleo kata ya Kirumba na Jimbo la Arumeru kama wana Meru wanataka kuona yaliyowapata wanaigunga kesho wasifanye makosa ya kuchagua ccm, Watanzania tumechoshwa na miaka hamsini ya Uhuni tulikuwa tunawapigia kura matokeo yake viongozi wetu wanakuwa matajiri wa kutupa na kuwa na matumbo makubwa.
Miaka hamsini ya uhuni Tanzania kuwa koloni la ccm na kesho wanameru wasifanye makosa hata Nyerere asingechangiwa nauli ya kwenda kudai uhuru leo hii tungekuwa wapi sasa wajanja wakamtoa uhai ili wao wanufaike kupitia mgongo wake.
Wanameru kuweni makini kesho ukiipigia kura chadema kesho na Nasari kuwa Mbunge utakuwa umechangia kuleta uhuru wa kweli na kudai mabadiliko ya kweli Tanzania Sio Nasari ataitetea Arumeru pekee na Arusha nzima pia na Tanzania katika kusimamia Rasilimali zetu zilizopokonywa na wajanja wachache.
Miaka hamsini ya uhuni Tanzania kuwa koloni la ccm na kesho wanameru wasifanye makosa hata Nyerere asingechangiwa nauli ya kwenda kudai uhuru leo hii tungekuwa wapi sasa wajanja wakamtoa uhai ili wao wanufaike kupitia mgongo wake.
Wanameru kuweni makini kesho ukiipigia kura chadema kesho na Nasari kuwa Mbunge utakuwa umechangia kuleta uhuru wa kweli na kudai mabadiliko ya kweli Tanzania Sio Nasari ataitetea Arumeru pekee na Arusha nzima pia na Tanzania katika kusimamia Rasilimali zetu zilizopokonywa na wajanja wachache.