Miaka hamsini ya "Uhuni" sera ya CCM

Kaseko

Senior Member
Feb 15, 2011
160
32
Miaka yote hiyo ccm walikuwa wapi? kuleta maendeleo kata ya Kirumba na Jimbo la Arumeru kama wana Meru wanataka kuona yaliyowapata wanaigunga kesho wasifanye makosa ya kuchagua ccm, Watanzania tumechoshwa na miaka hamsini ya Uhuni tulikuwa tunawapigia kura matokeo yake viongozi wetu wanakuwa matajiri wa kutupa na kuwa na matumbo makubwa.

Miaka hamsini ya uhuni Tanzania kuwa koloni la ccm na kesho wanameru wasifanye makosa hata Nyerere asingechangiwa nauli ya kwenda kudai uhuru leo hii tungekuwa wapi sasa wajanja wakamtoa uhai ili wao wanufaike kupitia mgongo wake.

Wanameru kuweni makini kesho ukiipigia kura chadema kesho na Nasari kuwa Mbunge utakuwa umechangia kuleta uhuru wa kweli na kudai mabadiliko ya kweli Tanzania Sio Nasari ataitetea Arumeru pekee na Arusha nzima pia na Tanzania katika kusimamia Rasilimali zetu zilizopokonywa na wajanja wachache.
 
Magamba ni fisi wanaogombania mzoga [ Tanzania??]. La hasha Tanzania sio mzoga tena, hatudanganyiki.
 
CCM ilizaliwa miaka 35 iliyopita mwaka 1977, hivyo kichwa cha mada kinakosa umakini.

Kabla ya hapo kulikuwa na TANU na ASP(kama hujui ni Tanganyika African National Union na Afro Shirazi Party)

Tanganyika ilipata uhuru December 1961, wakati Zanzibar ina historia ya uhuru na mapinduzi kuanzia January na April 1964.
Sasa piga mahesabu yako na ukokotoe miaka ujue kuwa uhuru wa Tanganyika ndio una miaka 50.

Kwa vile unaelekea umahiri wa uelewa wako wa habari ni mdogo naomba mwana CDM yeyote jamvini akueleze hata hiyo CDM ilianzishwa vipi na nani na ni lini.

Tuache kuongea kwa unazi bila kuwa na an informed back ground,
 
CCM ilizaliwa miaka 35 iliyopita mwaka 1977, hivyo kichwa cha mada kinakosa umakini.

Kabla ya hapo kulikuwa na TANU na ASP(kama hujui ni Tanganyika African National Union na Afro Shirazi Party)

Tanganyika ilipata uhuru December 1961, wakati Zanzibar ina historia ya uhuru na mapinduzi kuanzia January na April 1964.
Sasa piga mahesabu yako na ukokotoe miaka ujue kuwa uhuru wa Tanganyika ndio una miaka 50.

Kwa vile unaelekea umahiri wa uelewa wako wa habari ni mdogo naomba mwana CDM yeyote jamvini akueleze hata hiyo CDM ilianzishwa vipi na nani na ni lini.

Tuache kuongea kwa unazi bila kuwa na an informed back ground,
Wewe ndio unafanya unaz kutetea ujinga, TANU na ASP viliungana ili kuunda Serikali moja ya muungano ambayo ni SMT ili kutimiza matakwa ya Viongozi. Ile ilikuwa ndoa ya kipindi kile sasa CCM imeoa tena mwanamke anaitwa CUF kwa hiyo nikawaida yake kuoa oa, upo hapo?. Hivi nyoka akijivua gamba anakuwa sio nyoka? naona hujasoma tabia za nyoka ukisoma ndio uongeee sana.

Asante.
 
Poor argument from poor thinker!
Ni vigumu kutenganisha Ccm,TANU na Asp,ndio maana hata viongozi wako hujivunia majukwaani mafanikio ya Ccm kuiletea uhuru tanganyika,muungano nk!
CCM ilizaliwa miaka 35 iliyopita mwaka 1977, hivyo kichwa cha mada kinakosa umakini.

Kabla ya hapo kulikuwa na TANU na ASP(kama hujui ni Tanganyika African National Union na Afro Shirazi Party)

Tanganyika ilipata uhuru December 1961, wakati Zanzibar ina historia ya uhuru na mapinduzi kuanzia January na April 1964.
Sasa piga mahesabu yako na ukokotoe miaka ujue kuwa uhuru wa Tanganyika ndio una miaka 50.

Kwa vile unaelekea umahiri wa uelewa wako wa habari ni mdogo naomba mwana CDM yeyote jamvini akueleze hata hiyo CDM ilianzishwa vipi na nani na ni lini.

Tuache kuongea kwa unazi bila kuwa na an informed back ground,
 
Poor argument from poor thinker!
Ni vigumu kutenganisha Ccm,TANU na Asp,ndio maana hata viongozi wako hujivunia majukwaani mafanikio ya Ccm kuiletea uhuru tanganyika,muungano nk!
Kwa mtu makini inaelekea Somo mlilopewa na LG hapo juu hamjalielewa.
Tofautisha kati ya chama na serikali, na tofautisha kati ya CCM,TANU na ASP.
Great thinking is not a slogan but a statement to be proven by any JF member through his/her postings

Bila kufanya hivyo arguments zako zitakuwa zina zunguka mbuyu bila kufika a logical conclusion.
Mfano tu wa logic:serikali na chama ni vitu viwili tofauti kabisa, ni Kama kulinganisha mbwa na binadamu
wote wenye masikio mawili.
 
Mkuu kaseko badilisha title ndo ntachangia

Kama hauna argument ya kuchangia kaa kimya. soma maoni ya wengine kama mimi na unapita. kwa hiyo wewe unajiona ni muhimu sana hati title ibadilishwe kwa ajili yako???? Title haibadilishwi, "MIAKA 50 YA UHUNI NI SERA YA CCM". Kaseko usibadilishe title kwa ajili ya mtu mmoja. Na aache kuchangia aone kama JF itaisha.....
 
Mkuu,CCM tunayo iona leo ni matokeo ya Tanu na asp!
Huwez ukasema CCM ilianza 1977 kama ambavyo CHADEMA ilianza 90's!
CCM KIMSINGI IPO TANGU MWAKA 1964 Baada ya muungano,kwan Asp na tanu vilifanya kaz kwa ukarib mno!
Nadhan tunashndwa kuelewana hapo.
Kwa mtu makini inaelekea Somo mlilopewa na LG hapo juu hamjalielewa.
Tofautisha kati ya chama na serikali, na tofautisha kati ya CCM,TANU na ASP.
Great thinking is not a slogan but a statement to be proven by any JF member through his/her postings

Bila kufanya hivyo arguments zako zitakuwa zina zunguka mbuyu bila kufika a logical conclusion.
Mfano tu wa logic:serikali na chama ni vitu viwili tofauti kabisa, ni Kama kulinganisha mbwa na binadamu
wote wenye masikio mawili.
 
Mkuu,CCM tunayo iona leo ni matokeo ya Tanu na asp!
Huwez ukasema CCM ilianza 1977 kama ambavyo CHADEMA ilianza 90's!
CCM KIMSINGI IPO TANGU MWAKA 1964 Baada ya muungano,kwan Asp na tanu vilifanya kaz kwa ukarib mno!
Nadhan tunashndwa kuelewana hapo.
Bwana mudogo usi argue bila kuwa na an informed background maana unaonekana kuwa kichekesho.
CCM na TANU ni vyama viwili tofauti japo vinashabihiana katika malengo.
Kwa taarifa yako soma history kujua kwamba TANU ilianzia as Far back as 1954, wakati ambapo CCM haikuwepo wala kufikirika(hata wakati wa 1964).
Bila kuelewa missingi ya Muungano(1964),kuanza kwa CCM(1977) na hata Kuanza kwa vyama vingi(1990's) vijana wa Leo mtakuwa mnaelea katika dimbwi la ujinga katika civics.
 
na wajinga siku yao leo!

Bwana mudogo usi argue bila kuwa na an informed
background maana unaonekana kuwa kichekesho.
CCM na TANU ni vyama viwili tofauti japo vinashabihiana katika malengo.
Kwa taarifa yako soma history kujua kwamba TANU ilianzia as Far back as
1954, wakati ambapo CCM haikuwepo wala kufikirika(hata wakati wa 1964).
Bila kuelewa missingi ya Muungano(1964),kuanza kwa CCM(1977) na hata
Kuanza kwa vyama vingi(1990's) vijana wa Leo mtakuwa mnaelea katika
dimbwi la ujinga katika civics.
 
Huo ushabihiano ndio unao fanya kuwa vigumu kutofautisha CCM na wazazi wake hao!
Bwana mudogo usi argue bila kuwa na an informed background maana unaonekana kuwa kichekesho.
CCM na TANU ni vyama viwili tofauti japo vinashabihiana katika malengo.
Kwa taarifa yako soma history kujua kwamba TANU ilianzia as Far back as 1954, wakati ambapo CCM haikuwepo wala kufikirika(hata wakati wa 1964).
Bila kuelewa missingi ya Muungano(1964),kuanza kwa CCM(1977) na hata Kuanza kwa vyama vingi(1990's) vijana wa Leo mtakuwa mnaelea katika dimbwi la ujinga katika civics.
 
CCM ilizaliwa miaka 35 iliyopita mwaka 1977, hivyo kichwa cha mada kinakosa umakini.

Kabla ya hapo kulikuwa na TANU na ASP(kama hujui ni Tanganyika African National Union na Afro Shirazi Party)

Tanganyika ilipata uhuru December 1961, wakati Zanzibar ina historia ya uhuru na mapinduzi kuanzia January na April 1964.
Sasa piga mahesabu yako na ukokotoe miaka ujue kuwa uhuru wa Tanganyika ndio una miaka 50.

Kwa vile unaelekea umahiri wa uelewa wako wa habari ni mdogo naomba mwana CDM yeyote jamvini akueleze hata hiyo CDM ilianzishwa vipi na nani na ni lini.

Tuache kuongea kwa unazi bila kuwa na an informed back ground,

ASP na TANU si ndo hao hao ccm tofauti hapo walibadili jina tu ila member wakabaki wale wale sidhani kama kuna kosa kusema ndo hao hao walokuwepo madarakani miaka yote 50
 
Wewe ndio unafanya unaz kutetea ujinga, TANU na ASP viliungana ili kuunda Serikali moja ya muungano ambayo ni SMT ili kutimiza matakwa ya Viongozi. Ile ilikuwa ndoa ya kipindi kile sasa CCM imeoa tena mwanamke anaitwa CUF kwa hiyo nikawaida yake kuoa oa, upo hapo?. Hivi nyoka akijivua gamba anakuwa sio nyoka? naona hujasoma tabia za nyoka ukisoma ndio uongeee sana.

Asante.

Tatizo hapa siyo kwamba hajui ila ni mnazi wa ccm ndo maana anajitahidi kuitetea
 
Kwa mtu makini inaelekea Somo mlilopewa na LG hapo juu hamjalielewa.
Tofautisha kati ya chama na serikali, na tofautisha kati ya CCM,TANU na ASP.
Great thinking is not a slogan but a statement to be proven by any JF member through his/her postings

Bila kufanya hivyo arguments zako zitakuwa zina zunguka mbuyu bila kufika a logical conclusion.
Mfano tu wa logic:serikali na chama ni vitu viwili tofauti kabisa, ni Kama kulinganisha mbwa na binadamu
wote wenye masikio mawili.

Pia mbwa akibong'oka anakuambia kasimama ila binadamu akisimama kasimama kweli
 
Back
Top Bottom