Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Kwa mtu makini inaelekea Somo mlilopewa na LG hapo juu hamjalielewa.
Tofautisha kati ya chama na serikali, na tofautisha kati ya CCM,TANU na ASP.
Great thinking is not a slogan but a statement to be proven by any JF member through his/her postings
Bila kufanya hivyo arguments zako zitakuwa zina zunguka mbuyu bila kufika a logical conclusion.
Mfano tu wa logic:serikali na chama ni vitu viwili tofauti kabisa, ni Kama kulinganisha mbwa na binadamu
wote wenye masikio mawili.
Pia mbwa akibong'oka anakuambia kasimama ila binadamu akisimama kasimama kweli