Hamduni
Senior Member
- Apr 25, 2020
- 155
- 108
HERI YA MIAKA 47 YA KUZALIWA KWA CCM
Historia inaturudisha nyuma tarehe 5 Februari, 1977 baada ya kuungana kwa Vyama vya Tanganyika African National Uniona (TANU) kilichokuwa kikitawala Tanzania Bara na Afro-Shirazi Party (ASP) kilichokuwa Chama Tawala cha Zanzibar wakati huo, Ndipo kikazaliwa CHAMA CHA MAPINDUZI.
Huu ulikuwa umoja na mshikamano mzuri kutoka kwa Waasisi wetu Mwl. Julius Nyerere (akiongoza TANU) na Aman Karume (akiongoza ASP).
Kwa miaka yote hio mpaka sasa ni miaka 47 na CCM imeendelea kuwa Imara kutokana na nguvu ya ushawishi kwa Watanzania, lakini pia Utekelezaji wa Ilani, na ahadi zake kwa Watanzania.
Chama cha Mapinduzi kimezidi kuimarika chini ya Mwenyekiti wetu Ndugu Samia Suluhu Hassan, sisi Wana CCM tunaendelea kuwa na Imani naye na tunamuunga mkono kwenye kila jitihada anazozifanya za kukijenga Chama chetu na kuwaletea Watanzania Wote Maendeleo.
Kauli Mbiu;
"Miaka 47 ya CCM, Shiriki Uchaguzi kwa Uadilifu na Kazi lendelee"
#Miaka47YaCCM
#Kazilendelee
Historia inaturudisha nyuma tarehe 5 Februari, 1977 baada ya kuungana kwa Vyama vya Tanganyika African National Uniona (TANU) kilichokuwa kikitawala Tanzania Bara na Afro-Shirazi Party (ASP) kilichokuwa Chama Tawala cha Zanzibar wakati huo, Ndipo kikazaliwa CHAMA CHA MAPINDUZI.
Huu ulikuwa umoja na mshikamano mzuri kutoka kwa Waasisi wetu Mwl. Julius Nyerere (akiongoza TANU) na Aman Karume (akiongoza ASP).
Kwa miaka yote hio mpaka sasa ni miaka 47 na CCM imeendelea kuwa Imara kutokana na nguvu ya ushawishi kwa Watanzania, lakini pia Utekelezaji wa Ilani, na ahadi zake kwa Watanzania.
Chama cha Mapinduzi kimezidi kuimarika chini ya Mwenyekiti wetu Ndugu Samia Suluhu Hassan, sisi Wana CCM tunaendelea kuwa na Imani naye na tunamuunga mkono kwenye kila jitihada anazozifanya za kukijenga Chama chetu na kuwaletea Watanzania Wote Maendeleo.
Kauli Mbiu;
"Miaka 47 ya CCM, Shiriki Uchaguzi kwa Uadilifu na Kazi lendelee"
#Miaka47YaCCM
#Kazilendelee