Mh.Mbowe na Lema wafika Polisi:Wapokonywa Simu,Maelfu ya Wananchi nao watanda barabara ya AICC

Status
Not open for further replies.
Hawa polisi wanadhani CCM itatawala milele. This is a naive thinking. Hivi itakuwaje kama siku ya siku hawa wanaowafanyia ufedhuri huu ndiyo wakaja kushika nchi? Hawa polisi wataficha wapi nyuso zao?
Wanafanyiwa hivi kwa sababu inajulikana hawata kuja kushika hii nchi. CCM ndio imefika kijana, nyie mtatulia tu.
 
Hao wote wawili elimu ziro, hayo mambo watayaweza wapi, usitake kufananisha kina Zitto na hawa wawili.[/Q: Mkuu kwenye hilo nadhani wewe ndo mwenye zero. Kutokuwa na elimu ya juu sio kigezo cha kushndwa kuweka pin. Nikuulize swali, je Wassira anaweza kuweka PIN?
 
Mods, badilisheni tittle ya hii habari. Isomeke, DJ ZERO na KITIMOTO wajisalimisha polisi. Nadhani hiyo ndo itaeleweka zaidi na wadau wengi humu JF
 
Anaibuka Mwehu huko anadai kama akiana Mbowe hawaliamini jeshi la police basi wapeleke ushahidi kwa Rais.Utadhani kuna mtu alimwambia Rais wetu amebakiza sifa yoyote ya uaminifu.Hata yeye haaminiki.Typical case ya nyani umpelekee ngedere? Kujipendekeza kwingine ni embarrassment kweli kweli

Polisi wakisababisha vurugu leo hali itazidi kuwa mbaya,cha msingi ni kuwaachia viongozi wetu muda huu tu.Hakuna njia ya mkatao maana hatutakubaliana kabisa na hili. Tunasema hivi tukiwa na kumbukumbu ambayo bado iko fresh vichwani mwetu juu ya kauli aliyoitoa Pinda Bungeni leo kama alivyonukuliwa kwamba anaruhusu polisi kupiga raia kama wamevunja sheria.Reckless utterance from a senior politician.Kutoa kauli kama hizi Inahitajika mtu kuchimbia weledi ardhini,na kuweka busara mfukoni.Ukiwa sober huwezi ku-spit hizi septic tank contents!

It appears that police brutality within the Tanzanian police force perpetuated by corrupt elements driven by greed and attitudes inclined towards torture and extortion of innocent citizens has been part of the Tanzania police force for many years




Wewe kweli akili zako ndogo kama Mbowe, wakati mnataka Rais aunde tume ya kijaji mlikuwa mnamuamini au la? Wakati mnapewa kashata na chai ikulu kuzungumzia sheria ya mabadiliko ya katiba mlikuwa hamuamini Rais? Kwa nini sasa, au kwa sababu Mbowe kaongea pumba Hana ushahidi wowote? Watanzania wana akili sana wanacheki tu na kushiriki 2015.
 
Ukweli utajulikana tuu hata kama wakichelewesha hii mambo,kwa kuwanyanganya sim sio sababu wao watatoka tuu.na kwenye mazishi watahudhuria
 
Lizaboni,

Nakutaarifu kwamba tayari upo kwenye ignore list yangu. Usihangaike hata kunijibu kwani sitaona utakachokiandika. Rest in peace!!!! na wahi book zako saba kwa Nape.

Tiba
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom