Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,273
Wameshamalza kuhojiwa
Wameachiwa? Tupe habari kamili mkuu
Wameshamalza kuhojiwa
Yesu hawezi kufungamana na mtu muovu kama wewe,yesu anafungamana na wenye roho safi siyo wenye kupanga na kutekeleza ulipuaji wa mabomu kama wewe.pepo ccm umelita magonjwa kwa watanzania, wewe pepo ccm imelata laana kwa watanzania ya umaskni, unaua watu kwa mabomu pepo ccm ondoka, nakuamuru sasa wewe pepo ccm ondoka ktk jina linalopita majina yote la Yesu Kristo.
weakleaks ndio nini mkuu?Kwa akili ya Chagonja anadhani ule ushahidi wa video ya Soweto uko kwenye simu hizo ili wauharibu; wakati umeshahamishiwa kwenye servers za Weakleaks!? Chezea CDM wewe?!
Mkuu fungua kanisa.wewe pepo CCM ondoka ktk miili ya watanzania wote 45 mil. Ondoka katika polisi, ondoka pepo CCM, ktk jina la Yesu
Wameshamalza kuhojiwa
Ungeweka na maswali ya wahuni wenzako.Hivi kuwa CCM lazima uwe punguani, Mbona hili jamaa ni kama vile limetoka Mirembe?
Ben mimi nilisha kosa imani kwa serikali hii muda mrefu sana, hivi hakuna namna ya ku-upload matukio haya CNN kama kutumia I-report?. Tufike mahali tuwajulishe jumuia za kimataifa wajue nini kinaendelea hapa inchini. Tuache kulalamika sasa tufanye kweli pamaja na ku-organizi migomo.Anaibuka Mwehu huko anadai kama akiana Mbowe hawaliamini jeshi la police basi wapeleke ushahidi kwa Rais.Utadhani kuna mtu alimwambia Rais wetu amebakiza sifa yoyote ya uaminifu.Hata yeye haaminiki.Typical case ya nyani umpelekee ngedere? Kujipendekeza kwingine ni embarrassment kweli kweli
Polisi wakisababisha vurugu leo hali itazidi kuwa mbaya,cha msingi ni kuwaachia viongozi wetu muda huu tu.Hakuna njia ya mkatao maana hatutakubaliana kabisa na hili. Tunasema hivi tukiwa na kumbukumbu ambayo bado iko fresh vichwani mwetu juu ya kauli aliyoitoa Pinda Bungeni leo kama alivyonukuliwa kwamba anaruhusu polisi kupiga raia kama wamevunja sheria.Reckless utterance from a senior politician.Kutoa kauli kama hizi Inahitajika mtu kuchimbia weledi ardhini,na kuweka busara mfukoni.Ukiwa sober huwezi ku-spit hizi septic tank contents!
It appears that police brutality within the Tanzanian police force perpetuated by corrupt elements driven by greed and attitudes inclined towards torture and extortion of innocent citizens has been part of the Tanzania police force for many years
Hii wapi tena Posta mpya au Mwenge kituoniwewe pepo mchafu ccm umekamta polisi, na wananchi, toka ktk jina la Yesu. watanzania tunateseka kwa sababu ya wewe pepo mchafu ccm, hatuna maji, hatuna chakula, hatuna ulinzi, hatuna hudumu za afya. wewe pepo machafu ccm unawaingia polisi wanaua raia kwa mabomu na risasi. Toka pepo mchafu ccm ktk miili ya watanzania. toka nakuamuuru ktk jina la Yesu Kristo. Pale masabani Yesu alisema wewe pepo mchafu ccm umekwisha. na sasa nakuamuru ktk jina la Yesu Toka ktk roho na akili za watanzania wote. toka achia miili ya watanzania sasa, achia sasa.
Nyie mnafikiri jumuia za kimataifa zina habari na nyie, waache kushughuklikia Syria waje kufatilia wapuuzi wachache walio shindwa kufata sheria.Ben mimi nilisha kosa imani kwa serikali hii muda mrefu sana, hivi hakuna namna ya ku-upload matukio haya CNN kama kutumia I-report?. Tufike mahali tuwajulishe jumuia za kimataifa wajue nini kinaendelea hapa inchini. Tuache kulalamika sasa tufanye kweli pamaja na ku-organizi migomo.
Kwani bisibisi si zipo zitafunguka tu.Simu za siku hizi unaweza kuweka security code karibia mafile yote! Cha muhimu zaidi ni password kwenye ku unlock keys, wataweza kuzifungua?? Wanahangahika bure tu hawa polisisiemu!!
Hivyo ndivyo ilivyokuwa South Africa kabla ya 1990, maana akina Mandela walipigania haki na watawala waliwaona wahuni hawafai ila mwisho wa siku dunia ikatambua na ikawapa support eti.
Hao wote wawili elimu ziro, hayo mambo watayaweza wapi, usitake kufananisha kina Zitto na hawa wawili.Simu za siku hizi unaweza kuweka security code karibia mafile yote! Cha muhimu zaidi ni password kwenye ku unlock keys, wataweza kuzifungua?? Wanahangahika bure tu hawa polisisiemu!!
Mbulura Si u-Googleweakleaks ndio nini mkuu?