Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Nina mashaka makubwa kama kweli kiongozi anaweza kupanda jukwaani na kutamka maneno kama hayo. Huo ni uwongo wa hali y juu kwa mleta maada.
Mleta mada katufanya sisi watoto wadogo. Ni kweli wakati wa kampeni huwa kuna vijembe na kashfa. Lakini si kwa maneno aliyoyaweka hapa.