Ee Mola tunusuru sie wanao kwani wale tulio dhani tungejifunza toka kwao ndo wamegeuka malusifa hadharani.
Si kila kitu cha kuamini hapa JF. Nimejifunza jambo hili, kuna ID Zikitupia thread nasoma kwa uhakika bila ya shaka yoyote. Lakini kuamini kuwa upo uwezekano wa mtu kutamka maneno kama haya hadharani, tena kwenye kampeni. Tusifikie huko, ushabiki wa mambo ya kisiasa usifike hapa. Wakati wa kampeni ni kweli huwa kuna vijembe vingi tu. Lakini kwa matusi aliyoweka huyu bwana hapa, anataka kutufanya akili zetu punguani. Tuachane na aina hii ya ushabiki. Uchaguzi utapita, wanachama wa CHADEMA, CCM na vyama vingine pamoja na sie tusio na vyama. Wote tunaishi katika jamii moja, tunachangia misikiti, makanisa, mahosptali nk. Propaganda za aina hii zitupishie mbali.
Je akiweka hyo Audio na ukiprove kua ni kweli je utasema nn wewe?Si kila kitu cha kuamini hapa JF. Nimejifunza jambo hili, kuna ID Zikitupia thread nasoma kwa uhakika bila ya shaka yoyote. Lakini kuamini kuwa upo uwezekano wa mtu kutamka maneno kama haya hadharani, tena kwenye kampeni. Tusifikie huko, ushabiki wa mambo ya kisiasa usifike hapa. Wakati wa kampeni ni kweli huwa kuna vijembe vingi tu. Lakini kwa matusi aliyoweka huyu bwana hapa, anataka kutufanya akili zetu punguani. Tuachane na aina hii ya ushabiki. Uchaguzi utapita, wanachama wa CHADEMA, CCM na vyama vingine pamoja na sie tusio na vyama. Wote tunaishi katika jamii moja, tunachangia misikiti, makanisa, mahosptali nk. Propaganda za aina hii zitupishie mbali.
Si kila kitu cha kuamini hapa JF. Nimejifunza jambo hili, kuna ID Zikitupia thread nasoma kwa uhakika bila ya shaka yoyote. Lakini kuamini kuwa upo uwezekano wa mtu kutamka maneno kama haya hadharani, tena kwenye kampeni. Tusifikie huko, ushabiki wa mambo ya kisiasa usifike hapa. Wakati wa kampeni ni kweli huwa kuna vijembe vingi tu. Lakini kwa matusi aliyoweka huyu bwana hapa, anataka kutufanya akili zetu punguani. Tuachane na aina hii ya ushabiki. Uchaguzi utapita, wanachama wa CHADEMA, CCM na vyama vingine pamoja na sie tusio na vyama. Wote tunaishi katika jamii moja, tunachangia misikiti, makanisa, mahosptali nk. Propaganda za aina hii zitupishie mbali.
kiongoz skilazimish kuamin kilichowekwa hapo juu! Ila kwa mda hii ni thread mpya tulishapata kuptia thread
zilizopta na niwatu tofaut na blog kwasasa ni topc au google! Inamaana hao wote waongo? Hata me pia sina chama! Si wewe!
Anaanza kwa kutambulishwa kuwa anaitwa Mh Lusinde.Mbumbe wa Mtera alimaarufu kwa jina la Kibajaj...
1.Wabunge wa CDM Majimarefu unawalea sana,Wewe ndo umewachanja chale hadi matakoni leo wanakutukana.
2.Dr Slaa Baba ake ni shoga,anamalizia na kudadadeki.
3.Mh Lema alipokuwa Gerezani kisongo ali*****rwa,alipata bwana.anamalizia na kudadadeki.
4.Dr Slaa upadre ulimshinda akatimuliwa kwa kutia mimba wana kwaya.
5.***** Kampeni Meneja Vicent Nyerere analiwa.
6.CDM msiwe kama Jogoo anatongoza akisema atamnunulia gauni tetea wakati akiinama hata chupi hajavaa.
7.CDM washamba nyie,niwarambe nisiwarambe.
8.Washamba CDM wanavaa Kombati wakati hata mgambo hawajapita.
9.Dr Slaa ni mshamba,akivaa kombati anatembea kama amejinyea.
10.Dr Slaa kasema kama ni fujo itaanzia Arumeru,kwanini isianzie kwa mke wake?
11.Dr Slaa anatishia kujamba wakati anaharisha.
12.Dr Slaa anavimba macho ya watu,kama anaubavu aje tupigane,ngumi moja naua,mnamuokota hapa...
13.Mbowe anauchungu,ana mimba na asubiri kuzaa tarehe 1 April 2012.
14.CDM wote wametiwa mimba na CCM,ukiona wanaonyesha vidole V maana yake wana mimba ya mapacha.
15.CDM tembeeni taratibu msije mkaharibu mimba zetu.
Naomba mniwie radhi sana maana najua haya matusi yatawakwaza wengi lakini tupo kwenye mpango wa kuhakikisha Audio na Video zake zinaenea Nchi nzima tuijue CCM ya leo
Nawasilisha.
Lusinde ni MBUMBUMBU zasy anaona fahari kutukana.
Si kila kitu cha kuamini hapa JF. Nimejifunza jambo hili, kuna ID Zikitupia thread nasoma kwa uhakika bila ya shaka yoyote. Lakini kuamini kuwa upo uwezekano wa mtu kutamka maneno kama haya hadharani, tena kwenye kampeni. Tusifikie huko, ushabiki wa mambo ya kisiasa usifike hapa. Wakati wa kampeni ni kweli huwa kuna vijembe vingi tu. Lakini kwa matusi aliyoweka huyu bwana hapa, anataka kutufanya akili zetu punguani. Tuachane na aina hii ya ushabiki. Uchaguzi utapita, wanachama wa CHADEMA, CCM na vyama vingine pamoja na sie tusio na vyama. Wote tunaishi katika jamii moja, tunachangia misikiti, makanisa, mahosptali nk. Propaganda za aina hii zitupishie mbali.
@Jumakidogo, nimekusoma. Ukipitia hiyo orodha ya matusi ni rahisi kukataa kuwa imetokea kuliko kukubali. Lakini historia ya Lucinde kwenye siasa za matusi is legendary. Amekuwa bungeni kwa muda mfupi lakini ongea na watu huko Dodoma. Huyu kijana atawaletea balaa CCM.
To proof otherwise chungulia kwenye youtube lusinde ccm matusi.