Anaanza kwa kutambulishwa kuwa anaitwa Mh Lusinde.Mbumbe wa Mtera alimaarufu kwa jina la Kibajaj...
1.Wabunge wa CDM Majimarefu unawalea sana,Wewe ndo umewachanja chale hadi matakoni leo wanakutukana.
2.Dr Slaa Baba ake ni shoga,anamalizia na kudadadeki.
3.Mh Lema alipokuwa Gerezani kisongo ali*****rwa,alipata bwana.anamalizia na kudadadeki.
4.Dr Slaa upadre ulimshinda akatimuliwa kwa kutia mimba wana kwaya.
5.***** Kampeni Meneja Vicent Nyerere analiwa.
6.CDM msiwe kama Jogoo anatongoza akisema atamnunulia gauni tetea wakati akiinama hata chupi hajavaa.
7.CDM washamba nyie,niwarambe nisiwarambe.
8.Washamba CDM wanavaa Kombati wakati hata mgambo hawajapita.
9.Dr Slaa ni mshamba,akivaa kombati anatembea kama amejinyea.
10.Dr Slaa kasema kama ni fujo itaanzia Arumeru,kwanini isianzie kwa mke wake?
11.Dr Slaa anatishia kujamba wakati anaharisha.
12.Dr Slaa anavimba macho ya watu,kama anaubavu aje tupigane,ngumi moja naua,mnamuokota hapa...
13.Mbowe anauchungu,ana mimba na asubiri kuzaa tarehe 1 April 2012.
14.CDM wote wametiwa mimba na CCM,ukiona wanaonyesha vidole V maana yake wana mimba ya mapacha.
15.CDM tembeeni taratibu msije mkaharibu mimba zetu.
Naomba mniwie radhi sana maana najua haya matusi yatawakwaza wengi lakini tupo kwenye mpango wa kuhakikisha Audio na Video zake zinaenea Nchi nzima tuijue CCM ya leo
Nawasilisha.
Mkuu, kamwe sintoamini hayo uliyoyaorodhesha hadi niione hiyo video au walau niisikie hiyo audio.
Kweli mtu anayeitwa mheshimiwa mbunge anaweza kutamka maneno machafu kama hayo!!!?????
If ever it's true, then only in Tanzania that this can happen!