Mgongano: Serikali Vs. Mwanahalisi - Mipaka ya Maoni?

ni maonyo tu... sidhani kama watalifungia gazeti...

Kulifungia hawawezi kwa sababu baba yao Lowassa, alijaribu kila njia akiwa Waziri Mkuu, ikiwa ni pamoja na hata kumtisha Kubenea uso kwa uso, lakini hakuweza kulifungia kama alivyotishia kuwa ametumwa na muungwana,

Itakua hawa polisi waliotumwa na Makamba, ambaye binafsi anajua fika kuwa mfupa ulimoshinda fisi Lowassa, yeye atauweza wapi?
 
Kulifungia hawawezi kwa sababu baba yao Lowassa, alijaribu kila njia akiwa Waziri Mkuu, ikiwa ni pamoja na hata kumtisha Kubenea uso kwa uso, lakini hakuweza kulifungia kama alivyotishia kuwa ametumwa na muungwana,

Itakua hawa polisi waliotumwa na Makamba, ambaye binafsi anajua fika kuwa mfupa ulimoshinda fisi Lowassa, yeye atauweza wapi?

Dar bao, Tarime tuko ndani ya penalt box. Tumekuja kuwashika......
 
ukichanganya jk kuzomewa mbeya, msukusuko wa tarime, kubenea na wengine! hapa hakuna kulala, watanznia tupeni raha!ccm byebye
 
Kulifungia hawawezi kwa sababu baba yao Lowassa, alijaribu kila njia akiwa Waziri Mkuu, ikiwa ni pamoja na hata kumtisha Kubenea uso kwa uso, lakini hakuweza kulifungia kama alivyotishia kuwa ametumwa na muungwana,

Itakua hawa polisi waliotumwa na Makamba, ambaye binafsi anajua fika kuwa mfupa ulimoshinda fisi Lowassa, yeye atauweza wapi?

Mkuu
sasa kwanini jk asimpige chini Makamba? hapo inakua je mkuu? Na jk kwanini asitumie wasaa huo kumning'iniza Lowasa ktk swala zima la Richmonduli?

Mbona mimi naona Rais wa TZ ana nguvu sana anaweza fanya lolote na mafisadi wasifanye lolote, wakijifanya kukupindua bungeni unageuka kuwa dikiteta mstaarabu.

Unajua ni bora kuwa dikiteta mstaarabu kuliko kufanya uchaguzi unatumia fedha nyingi kufanya njama za kuiba kura na kutembeza kipigo kwa raia ama kuhatarisha maisha yao.
 
Kubenea ameachiwa kwa mdhamana mnamo saa nne na dakika 41 usiku (mida ya Tanzania) na amefunguliwa jalada la uchochezi kwakuwa MwanaHalisi limeandika habari ambayo imewataja mawaziri ambao chini yao kuna vyombo vya vyenye silaha (Masha na Nchimbi) na hii inaashiria uchochezi dhidi ya mheshimiwa rais.

Marando (wakili) anasema haya ni mashambulizi dhidi ya MwanaHalisi na haoni kuna jinai ya aina yoyote kwasababu kilichoandikwa ni masuala ya kisiasa dhidi ya CCM na hayana uhusiano wowote na serikali. Anasema ni mawazo finyu ya vyombo vya dola na CCM kutotaka kuguswa huku akiwataka kuzoea hali hii kwani vyombo vya habari havitaacha kuandika.

Kubenea ameachiwa kwa dhamana na ametakiwa awasili kesho (Jumatatu) saa 8 mchana na mhariri wa MwanaHalisi - Jabir Iddriss.

Hii ni kwa ufupi
 
Mimi hapo sielewi kidogo

Hao polisi wametumwa na kundi la LOWASA ama JK?

Tuko wengi ndugu, naona sijui tukae kimya au tuulize wajuao watujuvye?

Kulifungia hawawezi kwa sababu baba yao Lowassa, alijaribu kila njia akiwa Waziri Mkuu, ikiwa ni pamoja na hata kumtisha Kubenea uso kwa uso, lakini hakuweza kulifungia kama alivyotishia kuwa ametumwa na muungwana,

Itakua hawa polisi waliotumwa na Makamba, ambaye binafsi anajua fika kuwa mfupa ulimoshinda fisi Lowassa, yeye atauweza wapi?

Makamba anawatuma polisi kama nani jamani? ni kweli hii taarifa? awa polisi zezeta? ,Na kwa nini Lowassa alishindwa kulifungia akiwa waziri mkuu?,

Sasa huyu Lowasa wanamuogopa nini? au ni tikitaka za kutaka kutuzingua .

Hapohapo who is Lowassa now? at that time alikuwa PM sasa yeye ni nani? ana nguvu kumshinda RAIS?
Mkuu
sasa kwanini jk asimpige chini Makamba? hapo inakua je mkuu? Na jk kwanini asitumie wasaa huo kumning'iniza Lowasa ktk swala zima la Richmonduli?

Mbona mimi naona Rais wa TZ ana nguvu sana anaweza fanya lolote na mafisadi wasifanye lolote, wakijifanya kukupindua bungeni unageuka kuwa dikiteta mstaarabu.
Unajua ni bora kuwa dikiteta mstaarabu kuliko kufanya uchaguzi unatumia fedha nyingi kufanya njama za kuiba kura na kutembeza kipigo kwa raia ama kuhatarisha maisha yao.

Maswali unayouliza , kila wengi tunajiuliza hivyo hivyo, pengine hakuna wa kutujibu, au wajuao ukweli hawajataka kutueleza, au mambo siyo kama tunavyoona.


Tusaidieni jamani maswali yenyewe ni haya yafuatayo, pengine tutarudi nyuma, lakini kwenda mbele ni lazima utoke ulipo, na tumekuwa hapa kwa sababu tumetoka nyuma

1. Taarifa ya kuwa mafisadi wanapanga njama ya kumg'oa rais, naona kama inalenga kutaka tuone kuwa JK anapingana sana na mafisadi wakati siyo hivyo!, hii taarifa bado haijakaa sawa imejaa fully of tetesi ambazo ukweli anaujua Kubenea na hao watu. kuna mtu anawezaa kufanya analyisi ya taarifa hii? tukaielewa?

2.Hivi kama inteligency ya nchi hii haijajua kuwa kuna watu wanaconspire against Kikwete basi hatuna , secret agency nchi hii! nijuavyo mimi kama kubenea aliweza kupata taarifa hizo, he is far more than usalama wa taifa, la kama usalama wa taifa walikuwa na taarifa hizi na hawakufikisha kwa Rais basi, maisha ya rais yako hatarini, hana pa kuegamia.Usalam wa taifa wako wapi? kweli hawajui ukweli?

3. Je kitu gani kinachomfanya Kikwete achelewe kuwapeleka jela hawa mafisadi? even kuwakolimba ana kila kitu cha kufanya hivyo! je ana urafiki na mafisadi? au ana uadui nao? kwa kuwapeleka jela kwanza, atalinda katiba na wajibu wake kwetu, atajiongezea credibility ambayo iko zero ground kwa sasa.

4. Hivi mtu anayeandika habari kama ile inabidi atafutwe kwa ubaya au kwa wema? I hope, polisi wanaweza kutofautisha kati ya taarifa ya kuwasaidia wao. Kama taarifa hii ya kubenea wanamtafuta kwa ubaya; basi polisi yetu imeoza na hakuna watu wa kufikiri starting from bosi wao mwema, au kuna jambo wanalomtafutia SK lingine amabalo haliusiani na taarifa ya Kikwete.

Kuna wanaosema Lowassa amekasirika kwani alitolewa uwaziri mkuu na Kikwete , ni kweli? Taarifa ya Mwakyembe ilisema waziri mkuu awajibike, he had everything to make him stay in his position, akahanaki kama mtoto, akazira, akaondoka, Kikwete alaumiwe kwa lipi hapo? mtu anasema barua ya kujiuzulu nimeshampa Kikwete, Kikwete lazima acheze kama Pele, wengi na magazeti megni yaliripoti kuwa Kikwete amevunja baraza kla mawaziri si Kweli, simply ni kwa sababu Lowassa alijiuzulu, Kikwete akasifika kila kona duniani, kumbe hakufanya lolote.

5. Reaction ya Kikwete kuhusu hii taarifa ya SK, lazima itakuwa nzuri tu-kwanza inamwongezea credibility, sympathy, popularity locally an internationally.Hivyo naamini mamlaka za polisi zingefanya mambo haya kwa upendo towards SK, awaeleze black and out, NA KUBENEA HAKUWA NA SABABU YA KUJIFICHA NA KUTAFUTA WANASHERIA KWA TAARIFA NZURI ALOYOITOA, ndio maana tunasema kuna nini kimejificha?

6.SK alikuwa na haraka gani kuandika ile taarifa? kama hakumalizia uchunguzi angesubiri , kama alikuwa amemaliza ucngunzi kwa nini asikweke complete scene, au rpofessiona za uhandishi wa nahabri zinaruhusu hivyo? au alitaka aandike nusunusu tununue gazeti? angalia sasa haya matatizo..Tumezoea kuona uthibitisho wa taarifa zake nyingi kwenye previous posts

7. Tetesi hazizuiliki, ya kuwa mwanahalisi ni la JK , amelenga kuwaua marafiki zake wa karibu might be true or wrong, lakini mambo yanavyokuwa mixed up kama sasa still watu wanajiuliza , mafisadi wamng'oe kikwete kwa lipi?, wakati mshikaji wao, wengine ni mashemeji,family friend n.k.




maswali hapo juu pengine mengine ya kitoto sana, naomba mnieleweshe, .Kama mambo ni kweli kuwa SK anatafutwa na polisi basi kuna kitu kibaya kinaendelea

SUSPECT:

Kwa sababu hawa jamaa walikuwa marafiki , na kama kweli wanahitilafiana, na kama kweli taarifa ya kubenea ni ya kweli; basi
KUNA UWEZEKANO MKUBWA POLISI, JESHI, USALAMA WA TAIFA, MAJAJI WABUNGE,WAMEGAWANYIKA KUNA WA UPANDE WA KIKWETE NA KUNA WA UPANDE WA LOWASSA, hii ni hatari na mbaya sana kwa taifa letu , anything may happen at any time! IN OTHER WORDS LOWASSA NAYE NI RAIS WA NCHI HII!


AMEACHIWA KWA DHAMANA, BADO SWALI LINGINE, KAMA NI UKWELI UTHIBITISHO HUPO, WHY TWENDE MAHAKAMANI? YAANI UKWELI LAZIMA TUSUBIRI KUUSEMA MAHAKAMANI TU?
wenu kwenye lindi la maswali, niko gizani niwashieni mshumaa kidogo angalau nione mlango nitoke nje!

waberoya
 
Hayo waliyopata hayatoshi kufungua kesi? Wafungue kesi mahakamani atajitetea, ushahidi si anao? Mimi naona hadi hapo mambo ni mazuri tu, mradi asinyanyaswe mtu, asionewe mtu. Wafungue kesi mpira uwekwe kati mpambano uanze!
 
Tuko wengi ndugu, naona sijui tukae kimya au tuulize wajuao watujuvye?



Makamba anawatuma polisi kama nani jamani? ni kweli hii taarifa? awa polisi zezeta? ,Na kwa nini Lowassa alishindwa kulifungia akiwa waziri mkuu?,



Hapohapo who is Lowassa now? at that time alikuwa PM sasa yeye ni nani? ana nguvu kumshinda RAIS?


Maswali unayouliza , kila wengi tunajiuliza hivyo hivyo, pengine hakuna wa kutujibu, au wajuao ukweli hawajataka kutueleza, au mambo siyo kama tunavyoona.


Tusaidieni jamani maswali yenyewe ni haya yafuatayo, pengine tutarudi nyuma, lakini kwenda mbele ni lazima utoke ulipo, na tumekuwa hapa kwa sababu tumetoka nyuma

1. Taarifa ya kuwa mafisadi wanapanga njama ya kumg'oa rais, naona kama inalenga kutaka tuone kuwa JK anapingana sana na mafisadi wakati siyo hivyo!, hii taarifa bado haijakaa sawa imejaa fully of tetesi ambazo ukweli anaujua Kubenea na hao watu. kuna mtu anawezaa kufanya analyisi ya taarifa hii? tukaielewa?

2.Hivi kama inteligency ya nchi hii haijajua kuwa kuna watu wanaconspire against Kikwete basi hatuna , secret agency nchi hii! nijuavyo mimi kama kubenea aliweza kupata taarifa hizo, he is far more than usalama wa taifa, la kama usalama wa taifa walikuwa na taarifa hizi na hawakufikisha kwa Rais basi, maisha ya rais yako hatarini, hana pa kuegamia.Usalam wa taifa wako wapi? kweli hawajui ukweli?

3. Je kitu gani kinachomfanya Kikwete achelewe kuwapeleka jela hawa mafisadi? even kuwakolimba ana kila kitu cha kufanya hivyo! je ana urafiki na mafisadi? au ana uadui nao? kwa kuwapeleka jela kwanza, atalinda katiba na wajibu wake kwetu, atajiongezea credibility ambayo iko zero ground kwa sasa.

4. Hivi mtu anayeandika habari kama ile inabidi atafutwe kwa ubaya au kwa wema? I hope, polisi wanaweza kutofautisha kati ya taarifa ya kuwasaidia wao. Kama taarifa hii ya kubenea wanamtafuta kwa ubaya; basi polisi yetu imeoza na hakuna watu wa kufikiri starting from bosi wao mwema, au kuna jambo wanalomtafutia SK lingine amabalo haliusiani na taarifa ya Kikwete.

Kuna wanaosema Lowassa amekasirika kwani alitolewa uwaziri mkuu na Kikwete , ni kweli? Taarifa ya Mwakyembe ilisema waziri mkuu awajibike, he had everything to make him stay in his position, akahanaki kama mtoto, akazira, akaondoka, Kikwete alaumiwe kwa lipi hapo? mtu anasema barua ya kujiuzulu nimeshampa Kikwete, Kikwete lazima acheze kama Pele, wengi na magazeti megni yaliripoti kuwa Kikwete amevunja baraza kla mawaziri si Kweli, simply ni kwa sababu Lowassa alijiuzulu, Kikwete akasifika kila kona duniani, kumbe hakufanya lolote.

5. Reaction ya Kikwete kuhusu hii taarifa ya SK, lazima itakuwa nzuri tu-kwanza inamwongezea credibility, sympathy, popularity locally an internationally.Hivyo naamini mamlaka za polisi zingefanya mambo haya kwa upendo towards SK, awaeleze black and out, NA KUBENEA HAKUWA NA SABABU YA KUJIFICHA NA KUTAFUTA WANASHERIA KWA TAARIFA NZURI ALOYOITOA, ndio maana tunasema kuna nini kimejificha?

6.SK alikuwa na haraka gani kuandika ile taarifa? kama hakumalizia uchunguzi angesubiri , kama alikuwa amemaliza ucngunzi kwa nini asikweke complete scene, au rpofessiona za uhandishi wa nahabri zinaruhusu hivyo? au alitaka aandike nusunusu tununue gazeti? angalia sasa haya matatizo..Tumezoea kuona uthibitisho wa taarifa zake nyingi kwenye previous posts

7. Tetesi hazizuiliki, ya kuwa mwanahalisi ni la JK , amelenga kuwaua marafiki zake wa karibu might be true or wrong, lakini mambo yanavyokuwa mixed up kama sasa still watu wanajiuliza , mafisadi wamng'oe kikwete kwa lipi?, wakati mshikaji wao, wengine ni mashemeji,family friend n.k.




maswali hapo juu pengine mengine ya kitoto sana, naomba mnieleweshe, .Kama mambo ni kweli kuwa SK anatafutwa na polisi basi kuna kitu kibaya kinaendelea

SUSPECT:

Kwa sababu hawa jamaa walikuwa marafiki , na kama kweli wanahitilafiana, na kama kweli taarifa ya kubenea ni ya kweli; basi
KUNA UWEZEKANO MKUBWA POLISI, JESHI, USALAMA WA TAIFA, MAJAJI WABUNGE,WAMEGAWANYIKA KUNA WA UPANDE WA KIKWETE NA KUNA WA UPANDE WA LOWASSA, hii ni hatari na mbaya sana kwa taifa letu , anything may happen at any time! IN OTHER WORDS LOWASSA NAYE NI RAIS WA NCHI HII!


AMEACHIWA KWA DHAMANA, BADO SWALI LINGINE, KAMA NI UKWELI UTHIBITISHO HUPO, WHY TWENDE MAHAKAMANI? YAANI UKWELI LAZIMA TUSUBIRI KUUSEMA MAHAKAMANI TU?
wenu kwenye lindi la maswali, niko gizani niwashieni mshumaa kidogo angalau nione mlango nitoke nje!

waberoya

Mkuu watu wameshindwa kutimiza wajibu wao ila wanachofanya ni kucheza na akili zetu wadaganyika.
 
Mkuu watu wameshindwa kutimiza wajibu wao ila wanachofanya ni kucheza na akili zetu wadaganyika.

Kwa maneno haya ya Mkamap, naanza kuona LISEMWALO LIPO, na kwa wanaomjua mkamap watakubaliana nami.

Kuhusu Kubenea kuhojiwa na polisi hadi uusiku mwingi, huo ni ukiukwaji mkubwa wa uhuru wa habari na kwa hili JK amechemsha sana kumwachia Masha na Nchimbi kucheza na vyombo vya usalama. Kama alivyosema mmoja wetu ni kwamba EL anatawala na si JK
 
Upumzike mahali pema kaka kubenea - bado hujaandika na kuwajibu tanzania kuhusu tuhuma zako za kutembea na mke wa mtu , tuko na wewe bado -- wengine ni wanaharakati wa ukimwi na haki za wanawake

With all due respect,kuna nyakati huwa nashindwa kuzielewa posts zako.Kaka,kwa vile hapa hatujuani,only way ya kuelewa upeo wa mtu ni substance,logic na relevance ya kile anachoki-post hapa.Kama ulikuwa hujui,basi elewa kwamba you've been among JF members wenye reputation inayopaswa kuwa quoted.Sasa unapokuja na mambo kama haya.....
 
Nilimuomba Mungu wa halali atupatie ushindi tarime. Sasa naomba ushindi huu umpatie Kubenea nguvu kesho.

Kubenea tumekuja kuwashika, hakika kila baya lina mwisho.
 
sasa kwanini jk asimpige chini Makamba? hapo inakua je mkuu? Na jk kwanini asitumie wasaa huo kumning'iniza Lowasa ktk swala zima la Richmonduli?

Muungwana anaogopa kukivunja chama, anampigia mahesabu Lowassa na kundi lake, lakini alipomchagua Membe kua foreign minister bila kum-consult Lowassa ujumbe ulikuwa very clear kuwa it is over,

Na sasa it only a matter of time, nilijua kuwa hawawezi thubutu kulifungia Mwanahalisi no way, Lowassa mwenyewe anajua vizuri sana hilo, ndio maana alikuwa anajaribu kumponza Makamba na Mkuchika, ambao nao by now wamesashituka!
 
1.
Hivi kaka unajua maana ya neno jazba? Maana maandishi yako siku zote ni SI Unit ya jazba sasa unapowaambia wale wasiokubali kuburuzwa na umahiri wako na so called the truth kutoka kwa kubenea tunayemjua sisi na haswa afanyavyo kazi zake kama sio jazba yenyewe ni nini. Kaka kama unalilia demokrasia lazima wewe binafsi ujenge utamaduni wa kidemokrasia na uendeshaji wako wa mijadala ni mfano wa wazi kuwa kwako wewe demokrasia ni haki tu na sio jukumu pia.

Mkuu umeandika kwa jazba, kwamba habari nzima ni uongo, ninasema hivi habari zako ndio za uongo, huyu mgombea wako ni wa mafisadi, mimi sigombei anything ila ninapewa dataz na wanaohusika na huo uchaguzi, na ndio sababu iliyomfanya Kubenea, aandike kua mtoto wa rais anatumiwa na hata kwenye majibu yake kwa serikali ameyasema hayo, sasa inakuaje uongo kuwa huyu mgombea wako sio wa mafisadi?

2.
Unapofikia kuninasabisha na manyang'au kama LOWASSA eti kwa kuwa namtetea BENO huko ni kuishiwa na uvumilivu na mfano halisi wa siasa chafu ambazo wewe binafsi huzipigia kelele humu. Mimi namjua BENO...anaweza akafanya mengine lakini hili la LOWASA na mafisadi wengine katu sikubaliani nalo. Na sio kuwa nategemea habari za magazetini bali ninahakikisha kuwa kijana hafanyi kosa kama hilo hata siku moja.

Sasa hapo umtafute Mhariri wa Nipashe, na Kubenea ubishane nao kuhusu hili, mimi ninamuamini Kubenea kwa sababu ametumia ushahidi wake alionao kwenye hili la mgombea wako na mafisadi, na yuko tayari kuutoa ushahidi mbele ya sheria, sasa unataka nimuamini nani kati yako na Kubenea?

Mkuu ninamuaminia Kubenea kuliko wewe, kuwa mgombea wako ni wa mafisadi.


3.
Tatizo ndugu yangu unashindwa kutofautisha masilahi yako kisiasa katika hili (NAPE-MALECELA connection) na ukweli wa siasa za uchaguzi UVCCM. Mimi si muumini wa CCM lakini nakuhakikishia kuwa nafuatilia kwa karibu sana siasa za nchi yangu nikiwa nchini mwangu na sio kwa remote control kama ufanyavyo wewe. Kaka demokrasia ni utamaduni na sio nyenzo tu ya kuhalalisha matakwa ama maoni yako.....

Tanzanianjema

Nape ni kijana mdogo sana kwangu kwamba ati mimi ninamtegemea yeye kwa ajili ya kuingia kwenye siasa ni pure nonesense!,

Halafu nafikiri huyu Malecela huenda ni baba yako maana huwezi kujadili ishu na mimi bila kumtaja, vipi anakuhusu nini au unamuota kwenye usingizi?

Tanzania nmi nchi yangu kama yako, mgombea wako amethibitishwa na Nipashe pamoja na Kubenea kua ni wa mafisadi, na anasaidiwa na mtoto wa rais, sio kosa langu bro kwa hiyo ulie uruke juu huwezi kunitisha na maneno yako ya taarabu hata siku moja, kama una tatizo na hilo wafuate Nipashe na Mwanahalisi

sio lazima uwe anywhere kujua siasa za taifa lako tizama historia ya Obama alipozaliwa, alipokulia ndio utaelewa hili halafu pukipsie sio bongo wadanganye wengine sio mimi!

Ahsante Mkuu.
 

... interpol kwa kushikirkiana na UN, wamempa rais majina matano ya viongozi wazito wa Tanzania, ambao wengine wapo na wengine wawili wameshatoka, kuwa ni wala rushwa na wanaotakwia kuchukuliwa hatua za kisheria kama vile Tanzania tulivyokubali tulipojiunga na hilo shirika la kutokomeza rushwa dunaini, na pia huwa tunapewa hela na hayo mashirka kwa ajili ya kupigana na corruption nchini, Sasa Kikwete amemomba muda kwanza, mawili either Tanzania tutanganze kujitoa huko au awachukulie hatua za kisheria hao mafisadi, hana jinsi!

"Shirika la kutokomeza Rushwa Duniani" ? ? ? ? ? Bizarrely outlandish!

Umoja wa Mataifa na Interpool hawahusiki na hawajihusishi na jinai za rushwa za ndani ya nchi. Hawawezi kumpa Rais Kikwete majina ya wala rushwa wake.

Wabunge wameshapeleka azimio kwa Spika, kwamba next bunge wanataka kuanzisha sheria itayoiondoa Takukuru under rais, na kuwa resonsible kwa bunge moja kwa moja

Your source is uninformed. If it exists at all!

Tukukuru haipo chini ya Rais. Prevention and Combuting of Corruption Act, 2007, Part II, Section 5 (2) The Bureau shall be an independent body.

Sasa hivi almost kila siku wahusika wa ufisadi huitwa kwenye vyombo vya sheria kuhusiana na ufisadi wao, mashitaka yalishatayarishwa na lists nzima, kinachusbiriwa ni uamuzi wa rais tu kazi ianze.

Freakish claim!

Wakina Chenge na mafisadi wengine wangekuwa wameitwa kwenye vyombo vya sheria tungesikia.

Kiwira kufikishwa mahakamani kama kampuni, kutokana na mapendekezo ya kamati ya Bomani, nako huko tayari mashitaka yameshatengenezwa, ambako Mkapa atabanwa kama Mjasiriamali kwa sababu ndicho kilichoandikwa kwenye sheria wakati wa kulianzisha shirika hilo na walitumia anuani ya Breda.

Wildly uninformed!

Kamati ya Bomani haikupendekeza mashitaka dhidi ya Kiwira. Ilisema uchunguzi zaidi ufanywe. Haujafanywa. Nchi bado inasubiri Rais aseme Ngeleja alipendekeza nini kuhusu utekelezaji wa Ripoti. Chochote alichopendekeza Ngeleja, Kikwete administration haiwezi kumshtaki Rais mstaafu Mkapa kwa sababu imetangaza kwamba ataachwa apumzike. Again, tuna matatizo ya outlandish misinformation submitted in the name of the forum.
 
Habari hii ilitoka kwenye Raia Mwema mwezi Mei:

Wajipanga kwa urais

Mwandishi Wetu
Mei 21, 2008

Slaa, Hamad kusimama upinzani

Zitto kuwaunga mkono

Masha, Membe watajwa CCM

MIAKA miwili tu kabla ya Rais Jakaya Kikwete kumaliza kipindi chake cha kwanza mwaka 2010 na huku serikali yake ikiandamwa na kashfa za ufisadi, wanasiasa ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na wale wa upinzani wanajipanga kwa nia ya kujiandaa kushika nafasi hiyo, Raia Mwema imefahamishwa.

Habari zinaeleza kwamba kwa sasa baadhi ya wana CCM wanajenga msingi wa kuwawezesha kumrithi Rais Kikwete katika uchaguzi mkuu ujao lakini wakishindwa, angalau basi kwa uchaguzi mwingine wa 2015; huku wapinzani wao wakipania kuchukua madaraka mwaka 2010, wakitumia kuyumba kwa nchi katika sehemu kubwa ya awamu ya kwanza ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nne.

Kwa mujibu wa habari hizo, tayari mazungumzo na mikakati imekuwa ikifanyika katika maeneo mbalimbali nchini kwa nia ya kuangalia wanasiasa wanaoweza kushika nafasi ya urais, lakini pia kuwazuia wale ambao wanahofiwa kuweza kuharibu mikakati hiyo.

Wanasiasa kadhaa wakubwa nchini wa sasa, wastaafu na hata wale walioguswa na kashfa, wamekuwa wakitajwa moja kwa moja kujihusisha katika mikakati hiyo ama kwa kupima upepo kama wanaweza kujitokeza wao au kwa kuandaa watu wanaowaunga mkono.

Kwa upande wa upinzani, wanasiasa wapya kabisa wanatajwa kuweza kuibuka na kwa kupishwa na wanasiasa waliogombea katika Uchaguzi Mkuu uliopita, ikiwa ni mkakati unaoelezwa kujaribu kuwavuta wapiga kura wengi.

Imeelezwa kwamba waliogombea katika chaguzi za nyuma ikiwa ni pamoja na ule wa mwaka 2005, kupitia vyama vya upinzani, wanaweza kuwaunga mkono wagombea watakaouzika katika uchaguzi wa mwaka 2010.

Wanaopewa nafasi kubwa zaidi ya kuweza kusimamishwa kwa nafasi ya urais kwa upande wa upinzani ni pamoja na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa na Kiongozi wa Upinzani ndani ya Bunge, Hamad Rashid Mohamed, ambao wanaelezwa kuweza kukubaliana mmoja akawa Mgombea Mwenza.

Wanasiasa hao wa upinzani wanaelezwa kusukumwa zaidi na wabunge wenzao pamoja na watu wa kawaida wanaofuatilia mwenendo wa kisiasa nchini hasa kutokana na mchango wao ndani ya Bunge ambalo limebadili hali ya kisiasa nchini kwa kurudisha mwamko wa wabunge na wananchi.

Hamad Rashid amelithibitishia Raia Mwema jana kwamba ameshauriwa kujiandaa kuwania urais mwaka 2015 lakini baadhi wametaka aanze mwaka 2010, akiwataja baadhi ya wabunge waliomshauri, wakiwamo hata wa Chama cha Mapinduzi (CCM).

“Ni kweli nina nia ya kuwania urais lakini si wa Zanzibar na kwamba nilijiandaa kwa mwaka 2015, lakini wabunge wenzangu baadhi kutoka CCM wamenishauri nianze kujitokeza mwaka 2010,” alisema Hamad, ambaye amewahi kuwa ndani ya Serikali ya Muungano katika wizara za Fedha na baadaye Mambo ya Ndani.

Akizungumzia suala hilo, Dk. Slaa alisema sasa ni mapema mno kuzungumzia mambo ya urais kutokana na nchi kuwa katika harakati za kupambana na ufisadi unaoihusisha hata Ikulu yenyewe.

Alisema Dk. Slaa: “Bado tuko mbali tukipambana na ufisadi. Nchi haitaki wanaokimbilia Ikulu. Inataka wenye ujasiri wa kusafisha Ikulu. Ukisema nawe unakimbilia Ikulu, unakuwa unataka ukafanye biashara au ukachote Ikulu. Wakati ukifika, hayo tutayajadili.”

Kwingineko kumekuwa na minong’ono kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Chacha Wangwe pia ana nia ya kugombea kwa tiketi ya chama. Nia ya kuwania urais ya viongozi hao wawili huenda ikawagombanisha na mwenyekiti wao, Freeman Mbowe, aliyesimama mwaka 2005 na ambaye inaaminika angependa asimame tena mwaka 2010.

Alipoulizwa kuhusu habari hizo za yeye kutajwa kuwania urais, Chache Wangwe alisema, “Ni kweli, ikiwa chama changu kitanipendekeza, nitakua tayari kugombea.”

Mkanganyiko mwingine wa Chadema unaweza kutokana na habari kwamba Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe, akizungumza na Watanzania walioko Houston, Marekani alikokuwa kwa ziara hivi karibuni, alisema atawaunga mkono Dk. Slaa na Hamad kama mazingira ya kisiasa yatawafikisha watu hao wawili katika kugombea mwaka 2010.

Siku za karibuni zimeshuhudia kutoaminiana miongoni mwa viongozi wa Chadema na hata kumhusisha Zitto na madai ya kuwa na urafiki wa karibu na Rais Kikwete, kiasi cha Kikwete kutaka kumteua kuwa waziri katika Serikali kabla ya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ya Februari mwaka huu.

Zitto ameiambia Raia Mwema wiki katika mahojiano kuwa wakati hapingi kuwa ana ukaribu wa kiasi fulani wa siku nyingi na Rais Kikwete, hakuna wakati alipotaka kuingia katika serikali yake.

“Sijawahi kuombwa na Rais Kikwete kuingia katika serikali. Msimamo wangu siku zote umekuwa ni kutumikia taifa bila kujali itikadi. Hata Rais anajua hili, kwamba siwezi kuhama chama au kwenda kinyume na maamuzi ya chama changu. Kwamba Rais Kikwete ni rafiki yangu, si kweli. Ninafahamiana naye kitambo. Ninajua ananiheshimu sana. Lakini hakuwa chaguo langu la urais wakati wa mchakato wa chama chao na hata katika uchaguzi mkuu,” alisema Zitto.

Lakini wafuatiliaji wa masuala ya kisiasa wanasema Zitto hajawahi kusikika akimshambulia Rais Kikwete katika hotuba zake na mara kadhaa amekuwa akimsifia katika maamuzi yake mbalimbali ambayo yamepingwa na wenzake. Hata kuingizwa kwake katika Kamati ya Madini ya Jaji Mark Bomani kulizua maswali mengi kutoka kwa wanasiasa wa CCM iliyombana alipoibua hoja ya mgodi wa dhahabu wa Buzwagi, na wa Upinzani.

Wengi hawaamini maelezo ya Zitto kwani anaonekana ni mtu mwenye kujiandaa kutokana na kuwa kwake na mahusiano ya karibu sana na wastaafu kama Jaji Joseph Warioba na Dk. Salim Ahmed Salim, watu ambao wana ushawishi mkubwa katika jamii.

Alipoulizwa kuhusu hili Zitto alisema kuwa yeye anawaheshimu sana viongozi wastaafu na hupenda kujifunza kutoka kwao na mahusiano yake nao hayana maana ya kutafuta kuungwa mkono.

“Nimekuwa na mahusiano na wazee hawa kama viongozi. Sio hawa tu. Ninazungumza na mzee Kaduma (Ibrahim), mzee Butiku (Joseph), mzee Kimiti (Paul) na mzee Jackson Makweta. Pia ninazungumza sana na Spika Samuel Sitta. Huwezi kusema hawa wote wananiandaa mimi kuwa Rais. Huo ni woga tu wa watu. Ni hulka yangu kuheshimu wakubwa na kujifunza ndiyo maana ukinikuta na Hamad Rashid hutaona mahusiano ya kiubunge. Utaona mahusiano ya mwalimu na mwanafunzi,” anasema Zitto ambaye mwaka jana gazeti moja la kila wiki lilimshutumu kwa kujipendekeza kwa viongozi wakubwa.

Kwa upande wa CCM, habari zinaeleza kwamba tayari makundi yameanza kujipanga kwa uchaguzi mkuu wa Rais mwaka 2010 na wa 2015 kama Rais Jakaya Kikwete atafanikiwa kushinda patashika ya mwaka 2010 na kuendelea muhula wa pili ambao ni wa mwisho kwa mujibu wa katiba.

Makundi hayo yanajipanga mapema na kwa kuanzia imeelezwa kwamba wanasiasa na wafanyabiashara wanajiandaa kuweza kupata wajumbe wa kutosha katika Mkutano Mkuu wakati wa uchaguzi, wajumbe ambao ndio watakuwa waamuzi wakubwa wa mgombea kutoka chama hicho.

Licha ya kwamba kuna fununu za wagombea wengine kujitokeza kushindana na Rais Kikwete katika kinyanganyiro cha ndani ya CCM mwaka 2010, inaonekana uwezekano wa ushindi ni mdogo kutokana na utamaduni wa CCM kuendeleza muhula wa pili wa Rais aliyeko madarakani utaendelea. Hata hivyo, hali inaweza kubadilika kama Kikwete atakumbwa na dhoruba yoyote kubwa ya kisiasa kabla au kuelekea 2010.

Magazeti kadhaa, hivi karibuni, yalimtaja Profesa Mark Mwandosya kama mgombea anayetajwa kuweza kumkabili Rais Kikwete ikifika mwaka 2010. Mwandosya alikuwamo katika hatua za mwisho za mbio za urais mwaka 2005.

Wengine wanaotajwa kwa sasa kwa upande wa CCM kujiandaa ama kuandaliwa kumrithi Kikwete, iwe 2010 au 2015, ni pamoja na Waziri wa Mambo ya Ndani Lawrance Masha na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe.

Kumekuwapo pia na mijadala ya Watanzania, na hasa walioko nje, inayotaka Dk. Salim agombee ama kupitia CCM au kupitia muungano wa vyama vya upinzani. Yeye na Profesa Mwandosya walishindwa na Kikwete 2005, wote wakiwa wamefikia hatua ya mwisho kabisa.

A nickle for you:

Masha alitajwa kwenye makala hii kuwa anajiandaa au kuandaliwa kumridhi Kikwete "iwe 2010 au 2015". Lakini Mhariri na Mchapishaji wa Raia Mwema hakutafutwa wala kutakiwa kuripoti Polisi. Lakini leo Kubenea ameambia ati kwa kuandika habari za Masha na Nchi ambao wana jeshi lenye silaha. Hivi Masha mwezi wa tano alikuwa anasimamia jeshi linalolinda kwa vidole!? Kwanini MwanaHalisi na siyo Raia Mwema?
 
Asalamu alaykum.

Ningependa kukamata neno moja tu hapa nalo ni hili lililoandikwa na huyu muungana "au la waislamu wa tz ambao wana dhamira ya kumuona mkuu jk aking'ara ktk 10 yrs yake ikulu huku wakiamini udhaifu uliojitokeza umesababishwa sana na edward lowasa na kidogo rostam" mwisho wa kunukuu.

Mimi nadhani sio sahihi kwa sababu waliosema kwamba kikwete ni chaguo la mungu ni wakristo kwa hivyo waislamu wameingia wapi hapo? au ndio mnataka kuingiza waislamu kwa kuwa kikwete ni muislamu? issue sio uislamu au ukrito, mimi ni muislamu tena ninayefata na kuipenda dini yangu lakini msomamo wangu huyu kiongozi hafai na miaka mitano inamtosha sana hakuna haja ya kumuongezea tena miaka mitano ijayo kwa sababu ameshindwa kulituliza taifa na sio yeye tu hata hao walio nyuma yake maana wameshindwa kumsaidia katika kuligakikishia taifa maisha bora na yenye amani.
 
Back
Top Bottom