Mgongano: Serikali Vs. Mwanahalisi - Mipaka ya Maoni?

Shirika la kutokomeza Rushwa Duniani" ? ? ? ? ? Bizarrely outlandish!
Umoja wa Mataifa na Interpool hawahusiki na hawajihusishi na jinai za rushwa za ndani ya nchi. Hawawezi kumpa Rais Kikwete majina ya wala rushwa wake.

Tanzania ni mwanachama wa UN, ambako kuna kitengo kinachohusika na kutookomeza rushwa duniani ambao ndio wamewapeleka Naibu Spika na mbunge wa East Same, na wa-Tanzania wengine kumi kwenye kozi ya miezi miwili ya kutokomeza rushwa kule DC, sasa kama wewe ulikuwa hujui hili kama ambavyo ulikuwa hujui kuwa Dr. Masau hupasua wagonjwa wa moyo maana yake ni moja kwamba huwa hujui kila kitu kama ambavyo ungependa kufahamika hapa JF kwamba unajua kila kitu, simply tu kwamba hujui sasa kaaa pembeni upewe darasa!

Your source is uninformed. If it exists at all!

Wewe labda ile source yako ya Pastor aliesalisha misa ya kifo bila ya kujua kama ndani ya jeneza kuna mwili ndio inaweza kua source ya misinformed lakini yangu ipo na bunge linakuja hili litapita!

Tukukuru haipo chini ya Rais. Prevention and Combuting of Corruption Act, 2007, Part II, Section 5 (2) The Bureau shall be an independent body.

Hapana bro hapa unaonyesha your idiocy, kwa sababu unapaswa kujua kua Waziri Mkuu hupitishwa na bunge na yuko responsible kwa bunge, ndio maana wabunge walimpumzisha ,

Hosea mpaka leo yupo ni kwa sababu wabunge hawahusiki na kuteuliwa kwake, sasa wabuneg w anataka apitishwe na wao kama waziri mkuu ili waweze kumng'oa inasikitisha sana kwamba at your age na elimu yako haya ulikuwa huyajui no wonder masbishano ya kitoto hayaishii hapa JF


Freakish claim!

Wakina Chenge na mafisadi wengine wangekuwa wameitwa kwenye vyombo vya sheria tungesikia.

Kama ambavyo ulikuwa umesikia kabla ya waingereza kusema kuwa Chenge ana visenti huko majuu, au? Mawazo kama haya huwa ndio ninayaita pure nonesense!

Wildly uninformed!

Kamati ya Bomani haikupendekeza mashitaka dhidi ya Kiwira. Ilisema uchunguzi zaidi ufanywe. Haujafanywa. Nchi bado inasubiri Rais aseme Ngeleja alipendekeza nini kuhusu utekelezaji wa Ripoti. Chochote alichopendekeza Ngeleja, Kikwete administration haiwezi kumshtaki Rais mstaafu Mkapa kwa sababu imetangaza kwamba ataachwa apumzike. Again, tuna matatizo ya outlandish misinformation submitted in the name of the forum.

Mkapa atashitwakiwa kama mjasiriamali wa Kiwira hilo limeshakubaliwa na bunge baada ya mapendkezo ya kamati ya Bomani, kinachosubiriwa ni uamuzi wa rais, hayo unayoyasema ya Mkapa yalishapitiwa ndio maana ikaamuliwa wajaribu kumbana through ujasiriamali wake huko na it is coming unless rais achomoe tena, kwneye hili bado hajachomoa,Ngeleja has nothing to do na hili maana halimuhusu kabisaa,

Nafikiri finally nimekuelewa sasa kwamba as long hujui ishu basi kwako ni uongo, that is pathetic thinking ambayo huwa inasababishwa na tabia flani ya mtu mmoja tu kua ameenda shule katika familia nzima au kijiji kizima, inaonekana that is the case with you kwamba wewe peke yako ndiye umeenda shule kwenye kijiji chako au familia yako sasa kila ishu huko ni lazima wakusikilize wewe na mpaka leo umeshindwa ku-adjust mbele ya society kwamba hizo tabia zako za kuabudiwa huko kwenu huwezi kuzileta na kwenye society maan hapa we could careless who you are ila ni hoja yako tu!

Usiyoyajua uliza hapa JF tutakuelimisha, kama tulivyokuelimisha kwenye ishu ya DR. Masau.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom