Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Yaap,safi sana na ndilo nililotarajia kusikia. Sasa walichokua wanahangaikia polisi kwa fujo zoote ni ni hasa?
Hapo pazuri. Natumaini miongoni mwa wanaosubiri nje wapo wanaJF watupenyezee za fastafasta.
Wapo wamejaa tele!!!
Upumzike mahali pema kaka kubenea - bado hujaandika na kuwajibu tanzania kuhusu tuhuma zako za kutembea na mke wa mtu , tuko na wewe bado -- wengine ni wanaharakati wa ukimwi na haki za wanawake
Whaaaat? JF bwana!
Wakuu heshima mbele sana, so far bado hatuna habari za uhakika sana kuhusu Kubenea, either mahali alipo au kama ni mzima, lakini kama kawaida tuko on top of this ishu na soon tutakua na something on it,
Sasa hivi na toka jana tumekwua tunapekua kila mahali na tumeshawaarifu wote wanaohusika na amani nchini kuwa tunawa-hold responsible kwa 100% na this, kwa sababu tayari tunajua nani aliyeonekana naye dakika za mwisho kabla hajapotea, na jina tunalo.
Na ushaidi upo wa wazi, wa nini aliambiwa na Rostam, na pia alichoambiwa na Lowassa aliyedai kuwa ametumwa na muungwana kumfikishia huo ujumbe, yes kama hakuonekana ina maana kuna uhusiano wa hayo maneno na kupotea kwake, kwa sababu tunazo records.
Ninaamini kuwa Shujaaa Kubenea, ni mzima na yupo salama tena kwa 100%.
Ahsante Wakuu
Upumzike mahali pema kaka kubenea - bado hujaandika na kuwajibu tanzania kuhusu tuhuma zako za kutembea na mke wa mtu , tuko na wewe bado -- wengine ni wanaharakati wa ukimwi na haki za wanawake
Mkulu, I hope haya mambo wanayotaka kushinikiza yafichuke hayatapelekea kukamatwa kwa 'informers'. Taifa letu liko kwenye wakati mgumu ambapo skendo baada ya skendo zinazidi kufichuka. Bila the likes of Mwanahalisi, Kulikoni na ThisDay, mengi tusingelijua. Hivyo basi ni muhimu sana kwa watu kama SK kuhakikisha sources za information zao hazi-leak na kuhatarisha maisha ya hao informers.
Mamlaka za Dola ni sharti zielewe kuwa, whatever hizi critical media zimekuwa zikichapisha ni representation kubwa sana ya hali halisi kuakisi kile jamii inachotaka kukijua, kukikemea na kukitatua kwa ajili ya maisha bora wanayotarajia na wangelipenda kuwa nayo.
Leo hii wakifungia MwanaHalisi, 3months down the line, naamini kutajitokeza MwanaHalisi nyingine ku-cover demand hii ya jamii katika kufichua maovu ambayo yamevunda na kunuka mpaka sasa yanashindwa hata kufunikwa kwa zuria.
SteveD.
Hao polisi wametumwa na kundi la LOWASA