........upepo tu;
Mpaka Hapo Viongozi wa serikali watakapokatazwa kupeleka watoto wao shule binafsi, hali hii itaendelea tu. Hapo watoto waliokosa kufundishwa hakuna mtoto wa Rais, Mawaziri, Wabunge, Wakuu wa mikoa na Wilaya na hata makatibu tarafa. Watoto wao wanaendelea na masomo shule binafsi. Nani atawatetea hawa watoto wa shule za serikali?
its so disgusting! what a government! shame!
mkuu sasa itv na madai ya walimu wao imekuiwaje tena.....sipati connection hapo ebu nisaidie au wanataka wauze sura maana hawa watotowetu wa kiduku, face book, na .com hawa ni hatari sana
Hivi posho ya wabunge kwa mwaka bajeti yake ni kiasi gani? ikiondolewa na mshahara wao kulimwa kidogo na matumizi ya magari ya kifahari (millioni 200 gari moja) yakaondolewa na kutumia magari ya millioni 40 hivi kila moja,pamoja na kufilisi wale wote walioliingizia taifa hasara kubwa za mabilioni ya fedha. na fungu litakalopatikana likapelekwa kwenye sekta muhimu kama za Afya,Elimu haitasaidia? kama itasaidia kikwazo nini? Oohh nimesahau mabilioni ya fedha yanayoyeyuka kwa mikataba mibovu ya madini, na wale Twiga kule Dubai....argggghhhh!!
Hivi posho ya wabunge kwa mwaka bajeti yake ni kiasi gani? ikiondolewa na mshahara wao kulimwa kidogo na matumizi ya magari ya kifahari (millioni 200 gari moja) yakaondolewa na kutumia magari ya millioni 40 hivi kila moja,pamoja na kufilisi wale wote walioliingizia taifa hasara kubwa za mabilioni ya fedha. na fungu litakalopatikana likapelekwa kwenye sekta muhimu kama za Afya,Elimu haitasaidia? kama itasaidia kikwazo nini? Oohh nimesahau mabilioni ya fedha yanayoyeyuka kwa mikataba mibovu ya madini, na wale Twiga kule Dubai....argggghhhh!!
Bila kusahau mikoa na wilaya mpya kila kukicha ili mradi mtoto wa aliesimamia ubatizo na zrobaini ya watoto zao wapate ajira za kutetemekewa. Tanzania ni kama kahaba, haina muelekeo kabisa.
Kweli kabisa serikali yetu inatumia gharama nyingi sana kujiendesha kuliko kuwatumikia wananchi wake..Hata wabunge wa viti maalum binafsi sioni umuhimu wao, ni kupeana ulaji tu
mkuu asante lakini hata kama watoto wao hawasomi kwenye shule hizi cha moto wanakiona wanaonekana kutembea bila nguo
1. Mgomo huu wa walimu na maandamano ya wanafunzi, sio kero kwa viongozi wetu kwakua hamna kiongozi hata mmoja mwanae anayesoma Saint. Halmashauri.......!
2. MwnaHalisi imefungiwa....ukiangalia kisa.....utaona kuna tatizo la kufikiri ndani ya serikali.....! Gazeti limesema; aliyemteka Ulimboka ni RAma wa Tiss,......halijasema ni Tiss....! Kwa hali hii kweli wataweza kutumia akili kutatua migogoro, maandamano n.k?
3. Mbunge anayepokea zaidi ya 300,000/- kwa siku ukilinganisha na mwalimu anayepokea mshahara huo kwa mwezi, halafu bado bunge linaona fedha hiyo ni ndogo kwa wabunge na wanampango wa kuongeza.....sasa uiano upo vipi kwa kada zingine kama walimu?
4. Zamani, walimu ulikuwa ni wito kwakuwa watoto wa viongozi wote nao walikuwa wakisoma st. Halmashauri, sasa hivi Ualimu siyo wito tena, baada ya hizi akademia kuota kama uyoga, huku wamiliki wao wengine wakiibia serikali umeme na kusamahewa kodi kupitia mradi wao wa makanisa......!
5. Nchi lazima iwe ngumu kutawalika kwakua, wapishi ambao ni viongozi, wanavimbiwa kwa kujipakulia wenyewe nyama, na wenye nchi ambao ni wengi wanaambiwa wagawane supu na mifupa, kibaya zaidi hata hiyo mifupa haipatikani kwa wakati....!