Posho City
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 646
- 415
Huku Bukoba nako kimenuka nipo Bukoba mjini hakuna walimu walioenda kazini na sekondari ndo kabisa hazina watu
:israel:
:israel:
J.Kanapaswa kujiuzulu,nchi imemshind
Naambiwa ofisi za mkuu wa wilaya na halmashauri ya wilaya ya mbozi(vwawa) zimezingirwa na wanafunzi kutoka shule za mwenge,haloli,ichenjezya,isangu,mbimba,ilolo,makatani etc! Kazi kwelikweli,afu naambiwa Tunduma wazazi nao wameungana na wanafunzi geti la kuingilia zambia limefungwa na wamechoma boma ndogo ya Tunduma!
Shule ya Secondary St Francis Mbeya wao wamekataa kugoma wamegundua ni upuuzi tu wa walimu wa Serikali kwani wao madai ya mishahara haiwahusu wanalamba mpaka netpay za 2M