Utaambiwa wameshawishiwa na CDM!wanaongozwa na nani si rahisi wanafunzi wa shule ya msingi kujikusanya na kufanya kitu kama hicho
Wanaenda kufungua kesi juu wenzao walio maliza mwaka jana.wakafaulu lakini hawajui kusoma...
kweli ukomboz uko mlangon!iringa wanafunz wanajpgia misele mtaan.
Tunduma wanafunzi wakati wanaandamana, FFU wamewapiga bomu la machozi, sasa watu wakubwa wameingilia, gate la kwenda Zambia limefungwa kwa muda hakuna gari kuvuka!
Hizi siyo zama ambazo ulisoma wewe, Mwanafunzi wa chekechea anaweza kupembua Mchele na Pumba, waacheni wawaburuze Walimu wao mahakamani kwani nao wanayohaki hiyo.wanaongozwa na nani si rahisi wanafunzi wa shule ya msingi kujikusanya na kufanya kitu kama hicho
waichome moto hiyo ofisi.