nginda
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 744
- 82
Nikisikia vitoto vya UDOm natamani kuwahi Uani. kwani hawa siyo waliomchangia Jua kali fedha za kununua fomu? leo wanataka pesa kwa ajili gani? Wamefungua shina la wakereketwa chuoni (aibu)na walikuwa wa kwanza kulaani CDM kususia hotuba ya Jua kali. Afande Yapige mabomu hayo yakiaandamana au yakigoma.