Mbona thread nyingine inasema wahadhiri walimsubiri chimwaga lakini pinda akachelewa na kuomba radhi na kuwataka wakutane kesho sa tano?????? wewe unasema wamegoma kuongea nae sasa tuamini lipi?????????????
kama sinema vile pinda amefika udom na ving'ora vyake kwenye ukumbi ili aongee na wahadhiri wa udom kuhausu mgomo wao wahadhiri wamegoma kuingia kuongea naye wanamtaka rais sio pm kuona hivyo pinda akajinda kwenda kuongea na serikali ya wanachuo hali wanachuo waliisha kubaliana kuwa aongee na wanachuo wote basi wakati pinda anaongea na viongozi huku wanachuo wakakutana na kuwang'oa madarakani haraka wakasimika serikali mpya wakamwapisha rais mpya na mawaziri wapya hapo patamu serikali yetu imechanganyikiwa huku makamba yuko arusha,mbeya kunafukuta.kila kona ya nchi yetu wananchi wameivimbia serikali naona ya tunisia yanakaribia DOWANS,ARUSHA,UDOM.KATIBA.UDSM nasikia j3 wanaanza kugoma,IRINGA,KIU sasa wameelemewa
Tujuze yaliyojiri katika maongezi na serikali ya wanafunzi.jamani hawakugoma kuongea nae, mtoa mada hayupo DOM. Alichelewa kumaliza mambo yake katika sehemu fulani ya ziara yake UDOM kwani hadi saa kumi na mbili jioni malikuwa na maongezi na serikali ya wanafunzi- udoso. alituma waziri wa elimu kuomba radhi, wanataaluma walimuelewa, na akaomba akutane nao kesho saa tatu asubuhi.
mtalalamika sana. mkileta fujo ni vurungu tu kwa kwenda, kudadadek. Hata mkiwatumia hao maaskofu wenu. watanzania wengine tunaangalia maslahi ya taifa kwanza na si masinagogi. Ni virungu tu kwa kwenda mbele, mpaka muelewe maana ya maslahi ya taifa kwanza.kama sinema vile pinda amefika udom na ving'ora vyake kwenye ukumbi ili aongee na wahadhiri wa udom kuhausu mgomo wao wahadhiri wamegoma kuingia kuongea naye wanamtaka rais sio pm kuona hivyo pinda akajinda kwenda kuongea na serikali ya wanachuo hali wanachuo waliisha kubaliana kuwa aongee na wanachuo wote basi wakati pinda anaongea na viongozi huku wanachuo wakakutana na kuwang'oa madarakani haraka wakasimika serikali mpya wakamwapisha rais mpya na mawaziri wapya hapo patamu serikali yetu imechanganyikiwa huku makamba yuko arusha,mbeya kunafukuta.kila kona ya nchi yetu wananchi wameivimbia serikali naona ya tunisia yanakaribia DOWANS,ARUSHA,UDOM.KATIBA.UDSM nasikia j3 wanaanza kugoma,IRINGA,KIU sasa wameelemewa