mbogo31
JF-Expert Member
- Nov 28, 2008
- 711
- 173
hivi jeshi la Tz linasubiri nini kuipindua hii serikali goigoi?....... Au na jeshi lenyewe ni goigoi?
Hawawezi kwanza wengi wao mawazo finyu na wakubwa maslahi yao yameboreshwa ili kuwaziba midomo na maono.