Sibadiliki sifati chama kinachotubuluza nafuata kiongozi bora atakae fanya kazi nzuri asie jisifu kwa lolote anae kula ugali wa kawaida kama mimi na sifa zake zinajulikana kuanzia zamani na sio muigizaji eti ndio aligundua kupanda dala dala na kula kwa mama ntilie leo, siku zote alikua aoni dala dala???? Mama ntilie walikua hawapo zamani? 😄😂😂 watanzania mnachezewa na wasanii watu wapo kimaslahiii msiwe kama nyumbu wa ngoro ngoroo😂😂😂😂😂 hapa ni kazi tu.
Sibadiliki sifati chama kinachotubuluza nafuata kiongozi bora atakae fanya kazi nzuri asie jisifu kwa lolote anae kula ugali wa kawaida kama mimi na sifa zake zinajulikana kuanzia zamani na sio muigizaji eti ndio aligundua kupanda dala dala na kula kwa mama ntilie leo, siku zote alikua aoni dala dala???? Mama ntilie walikua hawapo zamani?  watanzania mnachezewa na wasanii watu wapo kimaslahiii msiwe kama nyumbu wa ngoro ngoroo hapa ni kazi tu.
Sibadiliki sifati chama kinachotubuluza nafuata kiongozi bora atakae fanya kazi nzuri asie jisifu kwa lolote anae kula ugali wa kawaida kama mimi na sifa zake zinajulikana kuanzia zamani na sio muigizaji eti ndio aligundua kupanda dala dala na kula kwa mama ntilie leo, siku zote alikua aoni dala dala???? Mama ntilie walikua hawapo zamani?  watanzania mnachezewa na wasanii watu wapo kimaslahiii msiwe kama nyumbu wa ngoro ngoroo hapa ni kazi tu.
Sibadiliki sifati chama kinachotubuluza nafuata kiongozi bora atakae fanya kazi nzuri asie jisifu kwa lolote anae kula ugali wa kawaida kama mimi na sifa zake zinajulikana kuanzia zamani na sio muigizaji eti ndio aligundua kupanda dala dala na kula kwa mama ntilie leo, siku zote alikua aoni dala dala???? Mama ntilie walikua hawapo zamani? 😄😂😂 watanzania mnachezewa na wasanii watu wapo kimaslahiii msiwe kama nyumbu wa ngoro ngoroo😂😂😂😂😂 hapa ni kazi tu.