supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,451
- 10,932
Kwa dar hii endapo atapanda bus au atakwenda kituoni tu,umati mkubwa wa watu utakuwa nae kitu ambacho ni sawa na kukiita maandamano.huu sio wakati sahihi maana akifika kutembelea kwenye kituo cha basi au sokoni shughuli zinaweza za kibiashara kusimama kwa muda na kuleta usumbufu