michael kempanju
Member
- Jul 8, 2015
- 43
- 13
Haina jinsi cdm ndo hiyo ikulu inaenda kama unaburuzwa kata kamba uende huko nachojua wezi mia ni rahis kumbadilisha mwema mmoja kuwa mwizi kuliko mwizi mmoja kubadilisha wezi mia
Nakumbuka moja ya episode kali wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka jana ni ile iliyomfikisha LOWASSA Gongolamboto na kununua kipande cha mhindi wa kuchoma cha sh. 200 kwa Noti ya sh.10, 000 na kisha kufuata barabara za Chanika-Mvuti--Kitonga-Msongola-Chamanzi na kumalizia Mbagala. Ilikuwa ni SINEMA ya Rais wa watu.*
Ndugu zangu wa Pande hizo Wajaluo, Wakurya, Wanyakyusa, Waramo, Wamwera, Wamakonde na makabaila mengineyo, MAMVI alishatia timu huko tena?
Tehe tehe tehe . kazi kwelikweliKule mbali Uliza kama alishawahi kurudi ofisi ya CHADEMA makao makuu pale kinondoni?
Sense kufanya nini??? Wakati mlimnyima kura( kula)..... Nothing goes for freeNakumbuka moja ya episode kali wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka jana ni ile iliyomfikisha LOWASSA Gongolamboto na kununua kipande cha mhindi wa kuchoma cha sh. 200 kwa Noti ya sh.10, 000 na kisha kufuata barabara za Chanika-Mvuti--Kitonga-Msongola-Chamanzi na kumalizia Mbagala. Ilikuwa ni SINEMA ya Rais wa watu.*
Ndugu zangu wa Pande hizo Wajaluo, Wakurya, Wanyakyusa, Waramo, Wamwera, Wamakonde na makabaila mengineyo, MAMVI alishatia timu huko tena?
Humuoni anavyopiga push up huko BANDARINI, TRA, NSSF, kwa Watumishi hewa, huko NIDA, n.k? Au hukujua maana ya push up zake?Vipi Magu alishapiga tena push ups jukwaani!
Yale yalikuwa ya kupasha viungo vikae fit tayari kwa kutumia silaha sasa hivi anafanya mazoezi ya kutumia silaha cheki hapo.Vipi Magu alishapiga tena push ups jukwaani!
Mbona hujawauliza kasuku wenzako wa kijani kama walishomuona Magu akipiga pushup...kurukaruka jukwaani au kutoka kwenye roof ya gari kwenye mikutano....waulize kwanza hao kasuku wenzako wa kijani wakishakujibu ndo urudi tena...
Sumaye aliwadanganya kuwa Magufuli anaenda kila Desemba Ujerumani kucheki afya yake. Mbona mwaka jana hajaenda?Mbona hujawauliza kasuku wenzako wa kijani kama walishomuona Magu akipiga pushup...kurukaruka jukwaani au kutoka kweli roof ya gari kwenye mikutano....waulize kwanza hao kasuku wenzako wa kijani wakishakujibu ndo urudi tena...
Angalia comment ya BingelaKatiba2014tz, ameandika vizuri sana maana ya push up za Magufuli. Hata YEHODAYA ameandika vizuri, sina sababu ya kuelezea zaidi.Mbona hujawauliza kasuku wenzako wa kijani kama walishomuona Magu akipiga pushup...kurukaruka jukwaani au kutoka kweli roof ya gari kwenye mikutano....waulize kwanza hao kasuku wenzako wa kijani wakishakujibu ndo urudi tena...