Toe uzadiki wenu hapa labda hawo wasaliti lakini si wale makamanda wa ukweli, umeanza kuijua lini cdm wewe? Au hawo habari leo gazeti la ccm ndiyo limekuzuzua na habari hiyo? Yaani Lema hawezi kusimamia pumba kama hizo unazotaka ziweNimezungumza na mwandishi wa hii habari muda huu Bwana John Mhala kanihakikishia bila shaka yoyote madiwani wote wa CHADEMA Arusha mjini wamemtaka Lema afute tamko lake la kichochezi dhidi yao ndani ya siku saba ama wamburuze mahakamani.Nimesema na ninarudia tena na tena nimezungumza na madiwani wa CHADEMA kwa nayakati tofauti wote wanazungumza lugha mmoja "Maslahi ya wapiga kura wao"