kanyasu
JF-Expert Member
- Feb 9, 2009
- 234
- 18
hakuna utovu wa nidhamu,madiwani wamechaguliwa na wananchi,wanawakilisha wananchi,masuala ya dr slaa na mbowe ni kujitafutia sifa, hao madiwani wako sawa na sisi hapa arusha tunawaunga mkono hata ikibidi kuandamana tutaanadamana kuwatetea,chadema siyo chama cha dr slaa wala lema,arusha hatufaidiki na fujo za chadema tunataka amani na kufanya biashara.suala la madiwani wa arusha,kwanza ni utovu wa nidhani,lakini pia ni kujiona kuwa wanaweza kufanya chochote pasipo kuuhusisha uongozi wa juu.tujadili suala la muafaka na ccm ni suala la vyama kitaifa kwa maana hiyo madiwani walitakiwa kupata baraka za uongozi wa juu wa chadema,wakumbuke kuwa huu siyo muafaka wa kwanza kafikiwa kati ya ccm na chadema,ilishawahi kufanyika kigoma na hakuna matatizo yaliyotokea.mi nadhani madiwani wamejisahau wanadhani kuwa wao ndio wameipa cdm umaarufu arusha,wakati ni cdm ndo imefanya wachaguliwe.sasa hii hali ya baadhi ya viongozi kufanya mambo wanavyopenda isipodhibitiwa itafanya chama kionekane kinapyaya na hakina maamuzi hivyo kusabibisha kila anaye jisikia kwenda kinyume na misimamo ya chama kufanya hivyo.viongozi wa juu wa chadema wasiogope kuchukua maamuzi magumu ikipidi hata yatayosababisha kurudi kwenye uchaguzi,maana naamini watu wa arusha wanapenda sela nzuri za cdm na si mtu binafsi.tukumbuke halijaisha la shibuda linaibuka la madiwani.