Wewe unajiita zitto junior, Zitto original amewahi kuandika humuhumu JF akiwa naibu katibu mkuu wa chadema, kuwa hao wahuni wakithubutu kumfanyia kama walivyomfanyia Wangwe, hata mende kwenye vyoo vyao hawatasalimika. Was he stupid?Huwa nakuona makini sijui Leo kwanini umetumia speculations? Kama Mbowe ni mkatili Mdee ange survive? Hao waliomtukana bungeni kina Lijualikali na Silinde wange survive?
Labda naye bila ule mkwara tungeshamsahau.