Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Ndio wewe mshabiki wa magambaBadala ya kujadili hoja na mipango yenu ya Chadema mnamjadili Ritz Chadema bana.
Ndio wewe mshabiki wa magambaBadala ya kujadili hoja na mipango yenu ya Chadema mnamjadili Ritz Chadema bana.
Sasa ni dhahiri kuwa kuna mgogoro wa chini kwa chini ndani ya CHADEMA kati ya viongozi wake, ingawa viongozi wake wamekuwa wakifanya kila jitihada kuficha
Tukio la hivi karibuni viongozi wake wamekuwa wakifanya kila njia kuhakikisha suala la Mnyika kumtumia sms za vitisho Mh. Mwigulu Nchemba linamalizwa nje ya vyombo vya usalama, viongozi wamekuwa wakimshutumu sana Mnyika kwa uamuzi alioufanya wa kutuma sms za vitisho kwa Nchemba hali inayokifanya chama kutumia nguvu kubwa kushughulikia suala hilo, pia wamekuwa wakimshutumu kwa uamuzi wake wa kwenda kufanya mkutano huko Singida hadi kusababisha mauaji.
Pia umetokea msuguano kati ya Mbowe na Zitto kutokana na uamuzi wa Zitto kususia kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge pamoja na wabunge wengine wa CHADEMA baada ya kutokea msuguano kati Tundu Lissu na Werema, inasemekana siku hiyo Mbowe ambaye hakuwepo Bungeni alimtumia sms Zitto akimshutumu Zitto kwa uamuzi wake wa kubaki ukumbini wakati wenzake wanatoka nje, hata hivyo inasemekana Zitto alimjibu Mbowe kuwa suala lile lilikuwa kati ya Lissu na Werema hivyo lilikuwa halimhusu yeye,
NOTE: Kama hali iko hivi mapema itakuwaje wakikabidhiwa nchi, si watachinjana hawa
Nawasilisha!!!?
Ama kweli wewe ni zuzu! Yaani umeshindwa kuelewa ulichoandikiwa hapa?!!!!!
Hapa ndugu yangu naona umetumia neno mgogoro vibaya, hapo hakuna mgogoro hayo ni mambo ambayo yametokea na watu wanatafuta namna ya kuayamaliza siyo mgogoro hata kidogo, na hii ndiyo siasa inavyokwenda. Mnyika kateleza basi anaambiwa hivi sivyo, kwa upande wa Zitto alichokifanya siyo kigeni, kama mbowe alimtumia ujumbe ni katika kumwambia tu tumeona unakosimamia na inajulikana wazi. Zitto anayo hiyo historia ya misimamo ya hivyo hajaanza leo na anjua mwenyewe anachokifanya.
Yaani mleta hoja hapo kwenye CHADEMA ungeweka CCM watu wote wangekuunga mkono lakini ukishaiongelea CDM tu tegemea matusi hata kama ukiweka vyanzo vya kuaminika.Hili si jukwaa huru tena bali ni jukwaa la kukisifia chama.Hili linanikera sana,binafsi sina chama maana kwangu siasa za bongo ni za waganga njaa tu lakini kama tunaongelea siasa jamani tukubali na kukosolewa au vinginevyo yaanzishwe majukwaa ya vyama kimoja kimoja ndani ya Jamiiforum kwamba nikiingia jukwaa la CCM nikaisema vibaya nitukanwe na vivi hivyo kwa CDM.
Huo ni umbeya hebu thibitisha huo ujumbe wa mboye uliuona wapi?
Habari za kimbeya hazifai ktk jamii
kweli midomo itatuponza, huyu mtu kaandika vitu hana information but out of whims, atakuwa ni mkereketwa wa magamba. Watu wa hivi huwa wana maisha magumu, wanaishi pabovu, wanakula hovyo af wanajifanya chama cha magamba ni chao.
Swali langu naona limekuwa gumu sana, ngoja nilibadili, Zitto hajambo? Josephine nae hajambo, tayari au bado?
Nimeshangaa tu kwamba sijakuona ukitoa comment kwenye ile mada. Mbona kwenye hoja za Chadema unaonekanaga wangu wangu?Badala ya kujadili hoja na mipango yenu ya Chadema mnamjadili Ritz Chadema bana.
Lisemwalo lipo...
Lisemwalo lipo...
Nawasilisha!!!?
TUNTEMEKE unamjuwa au unajisemea tu? ingawa mmemlamba ban lakini nna-uhakika ukimuudhi atakuja kivingine, shauri lako.Hakuna mgogoro wowote ndani ya Chadema, huu unauzusha wewe ni upuuzi usio na mashiko, chadema ni chama makini na huendesha siasa zao kwa umakini zaidi
Hakuna mgogoro wowote ndani ya Chadema, huu unauzusha wewe ni upuuzi usio na mashiko, chadema ni chama makini na huendesha siasa zao kwa umakini zaidi