- Thread starter
- #101
Kipuri, sijawahi kuona mtu mzushi na mwenye majungu kama wewe. Hizi habari unazotuletea zinaonekana wazi kabisa kwamba zimepikwa.
mkuu, mi ni Great Thinker, sipiki majungu... Kama mngekuwa na akili mngezifanyia kazi habari hizi, na mngepata ukweli