Kuna taarifa kwamba mgogoro kati ya BoT na Hazina umesababisha kukwama kwa malipo serikalini kwa zaidi ya wiki tatu sasa,na baadhi ya maeneo hata mishahara hawajalipwa.
Wanasema baadhi ya watendaji wa serikali wanaambiwa kuna mgogoro kati ya BoT na hazina na wengine wanaambiwa ni kudorora kwa uchumi. Wakati uchumi una dorora wakubwa wa TICS wanafanya upuuzi na kusababisha kusinyaa kwa huduma za makontena kwa siku mbili bandarini wiki iliyopita na kusababisha hasara kubwa.
Mambo mengine ni mengi yanayoumiza uchumi na serikali imelala usingizi kila mtu akipigania kitumbua chake na wahalifu wakiendelea kuitesa serikali bila kufanywa lolote. Wameiba na wanatumia fedha za wizi kuendesha siasa na kuwatisha watawala hata Rais, ambaye anaogopa kuwachukulia hatua. Wananunua watendaji wakiwamo wa dola, wananunua haki hata mahakamani, wananunua haki hata katika mitandao na vyombo vya habari, watanunua hata familia zetu (kama hawajaanza) maana njaa inasababisha utu kutoweka.
Inauma sana.
Wanasema baadhi ya watendaji wa serikali wanaambiwa kuna mgogoro kati ya BoT na hazina na wengine wanaambiwa ni kudorora kwa uchumi. Wakati uchumi una dorora wakubwa wa TICS wanafanya upuuzi na kusababisha kusinyaa kwa huduma za makontena kwa siku mbili bandarini wiki iliyopita na kusababisha hasara kubwa.
Mambo mengine ni mengi yanayoumiza uchumi na serikali imelala usingizi kila mtu akipigania kitumbua chake na wahalifu wakiendelea kuitesa serikali bila kufanywa lolote. Wameiba na wanatumia fedha za wizi kuendesha siasa na kuwatisha watawala hata Rais, ambaye anaogopa kuwachukulia hatua. Wananunua watendaji wakiwamo wa dola, wananunua haki hata mahakamani, wananunua haki hata katika mitandao na vyombo vya habari, watanunua hata familia zetu (kama hawajaanza) maana njaa inasababisha utu kutoweka.
Inauma sana.