Mgogoro Hazina, BoT, serikalini; hakuna malipo!

Kununua jengo hilo ni moja, lakini jengo la ghorofa 6 New York kwa nchi inayoomba hata vyandarua vya kuzuia mbu ni maajabu ya Mussa! $24 million ni mansion ya nguvu hata kwa viwango vya wauza mafuta -Saudia. Na gharama za kuendesha jengo kama hilo ni kubwa sana. Hivi tuna shughuli gani kubwa hivyo huko New York zaidi ya kupitisha kibakuli kiasi kwamba tunahitaji jengo la ghorofa 6?
JK ameona asiondoke hivi hivi bila ya skendo kama ya mwenzake ben mkapa.
mfano ule ule wa RADAR ndio kinachotokea kwa haya majengo. safari nyingi nyingi za USA za mkulu ndio zinazaa mambo kama haya.
uhapo watu kibao wamechukua chao na kuchapa lapa....
in the next years utagundulika ufisadi katika suala hili.mark my words.
NASHAURI UCHUNGUZI HURU UFANYIKE KUBAINI NIA HASA YA UNUNUZI WA MAJENGO HAYA KAMA YANA MASLAHI KWA NCHI YETU NA KAMA HAKUNA UFISADI UMEFANYIKA KATIKA MCHAKATO HUO.
 
Kuna taarifa kwamba mgogoro kati ya BoT na Hazina umesababisha kukwama kwa malipo serikalini kwa zaidi ya wiki tatu sasa,na baadhi ya maeneo hata mishahara hawajalipwa.

Wanasema baadhi ya watendaji wa serikali wanaambiwa kuna mgogoro kati ya BoT na hazina na wengine wanaambiwa ni kudorora kwa uchumi. Wakati uchumi una dorora wakubwa wa TICS wanafanya upuuzi na kusababisha kusinyaa kwa huduma za makontena kwa siku mbili bandarini wiki iliyopita na kusababisha hasara kubwa.

Mambo mengine ni mengi yanayoumiza uchumi na serikali imelala usingizi kila mtu akipigania kitumbua chake na wahalifu wakiendelea kuitesa serikali bila kufanywa lolote. Wameiba na wanatumia fedha za wizi kuendesha siasa na kuwatisha watawala hata Rais, ambaye anaogopa kuwachukulia hatua. Wananunua watendaji wakiwamo wa dola, wananunua haki hata mahakamani, wananunua haki hata katika mitandao na vyombo vya habari, watanunua hata familia zetu (kama hawajaanza) maana njaa inasababisha utu kutoweka.

Inauma sana.

Craaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap hakuna source ni habari za kufikirika na umbeya
 
Gharika laja!
Watu wako bize wanasubili mgao wao kwenye imported cement yenye punguzo la 10% importy duty.
Yaani deal yoyote Tz kwa sasa kama mtu anatoka mkono mtupu haipiti!
 
Honestly naomba Mr David Cameron atangaze "kupata msaada lazima mkubali ushoga". Najua it's a thorny issue politically, and they will decide not to. Then tuanze kujitegemea tuone kama watanunua majumba huko nje.
Hicho ndicho ninachoombea tena sana. Naamini kwamba suala la ushoga litatuwezesha kuandaa mipango mizuri ya kujitegemea. Hongereni waingereza kwa mbinu hiyo itakayotuwezesha kujitegemea.
 
Cameroon amechoka kuwapa pesa za bure anataka awashike makalio kwanza angalau apate ka satisfaction kidogo.
 
Kuna taarifa kwamba mgogoro kati ya BoT na Hazina umesababisha kukwama kwa malipo serikalini kwa zaidi ya wiki tatu sasa,na baadhi ya maeneo hata mishahara hawajalipwa.

Wanasema baadhi ya watendaji wa serikali wanaambiwa kuna mgogoro kati ya BoT na hazina na wengine wanaambiwa ni kudorora kwa uchumi. Wakati uchumi una dorora wakubwa wa TICS wanafanya upuuzi na kusababisha kusinyaa kwa huduma za makontena kwa siku mbili bandarini wiki iliyopita na kusababisha hasara kubwa.

Mambo mengine ni mengi yanayoumiza uchumi na serikali imelala usingizi kila mtu akipigania kitumbua chake na wahalifu wakiendelea kuitesa serikali bila kufanywa lolote. Wameiba na wanatumia fedha za wizi kuendesha siasa na kuwatisha watawala hata Rais, ambaye anaogopa kuwachukulia hatua. Wananunua watendaji wakiwamo wa dola, wananunua haki hata mahakamani, wananunua haki hata katika mitandao na vyombo vya habari, watanunua hata familia zetu (kama hawajaanza) maana njaa inasababisha utu kutoweka.

Inauma sana.

mkuu TICTS wanaingiaje hapo? wafanyakazi kazi wanatakiwa wapewe hisa ambazo serikali (Vigogo) wanataka kuzi-divert ili wazimiliki wao binafsi, hisa kwaajili ya wavuja jasho wa hali ya chini! TICTS kama kampuni ina hisa zake ambazo ndimo zilipotokea hisa ambazo wanatakiwa wafanyakazi wapewe, sasa wanagoma wale wafanyakazi mnasema tena TICTS, semeni ukweli!
 
siyo kweli kwamba serikalini hakuna fedha, fedha zipo ila ni matatizo tu ya mtandao.Jamani acheni uzushi.mimi niko jikoni ninajua kila kitu.Tafadhali anayedai serikali haina fedha athibitishe.

Mimi hapa ni Shahidi. Ni mtumishi wa serikali na nipo Wizarani. Naidai Wizara yangu kiasi cha Tsh.6,050,000/= kwa ajili ya uhamisho wangu toka mwaka 2009 hadi leo mwaka 2011 sijalipwa.

Nikimfuata Chief Accountant ananiambia bado hawajaletewa pesa kutoka hazina. Na ukumbuke kwamba tupo wengi wenye madai kama haya. Pia kuna wakandarasi wengi ambao wamefanya kazi huko mikoani katika taasisi na vyuo mbalimbali vilivyo chini ya Wizara yangu nao pia wanadai zaidi ya 3 Billions.

Ndugu yangu Nzigo, hii habari kwamba serikali haina fadha huwezi kuipinga labda nyie ambao mmpo Jikoni (Hazina) hamuwezi kufahamu hili kwa sababu nyie si ndio mnagawa exchequers. So lazima mjigawie nyie kwanza ndio wengine tufuate. Kama makusanyo ni kidogo obvious lazima mtajigawia wenyewe ndio maana unapinga huu mjadala.
 
Na kwa mara ya kwanza katika historia ya maisha yangu serikalini, safari hii nimeshuhudia serikali ikizitumia Wizara na idara zake Exchequer hewa. Mfano mwezi uliopita wizara yetu ilitumiwa exchequer ya Operating Cost (OC) lakini ilipoaingizwa kwenye system (mtaandao) ya malipo na baadae malipo yakaanza kufanyika kwa kutumia hiyo exchequer then Voucher list kupelekwa hazina baadhi ya malipo yaliondolewa na hazina na kubakisha malipo ya mshahara tu kwa kile walichodai kuwa hakuna pesa BoT.

Sasa cha kujiulliza kama pesa hakuna BoT ni kwa nini walituma Exchequer hewa?

Dah! Serikali hii kweli ni taahira...halafu wote (Kikwete, Mkulo na Ndullu) wako kimya kabisaa!!!!
 
Kuna taarifa kwamba mgogoro kati ya BoT na Hazina umesababisha kukwama kwa malipo serikalini kwa zaidi ya wiki tatu sasa,na baadhi ya maeneo hata mishahara hawajalipwa.

Wanasema baadhi ya watendaji wa serikali wanaambiwa kuna mgogoro kati ya BoT na hazina na wengine wanaambiwa ni kudorora kwa uchumi. Wakati uchumi una dorora wakubwa wa TICS wanafanya upuuzi na kusababisha kusinyaa kwa huduma za makontena kwa siku mbili bandarini wiki iliyopita na kusababisha hasara kubwa.

Mambo mengine ni mengi yanayoumiza uchumi na serikali imelala usingizi kila mtu akipigania kitumbua chake na wahalifu wakiendelea kuitesa serikali bila kufanywa lolote. Wameiba na wanatumia fedha za wizi kuendesha siasa na kuwatisha watawala hata Rais, ambaye anaogopa kuwachukulia hatua. Wananunua watendaji wakiwamo wa dola, wananunua haki hata mahakamani, wananunua haki hata katika mitandao na vyombo vya habari, watanunua hata familia zetu (kama hawajaanza) maana njaa inasababisha utu kutoweka.

Inauma sana.
Watanzania mnapiga kura kama vipofu, halafu mnalalama kama vichaa! Ni vema muendelee kuteseka hadi hapo mtakapopata mang'amuzi na kuondoa ushabiki wa Yanga na Simba katika siasa! Amani na utulivu! Tulieni ili mliwe vizuri kwa kuwa mliyataka wenyewe!
 
Watanzania mnapiga kura kama vipofu, halafu mnalalama kama vichaa! Ni vema muendelee kuteseka hadi hapo mtakapopata mang'amuzi na kuondoa ushabiki wa Yanga na Simba katika siasa! Amani na utulivu! Tulieni ili mliwe vizuri kwa kuwa mliyataka wenyewe!

kaka inatia hasira .... cha kufanya tuwaelimishe wenzetu wa vijijini ambao uchaguzi ukifika wanapewa kanga na kusahau miaka yote 5 ya shida
 
Watanzania wajifunze kuishi na uchaguzi wao... kama serikali yao iko tayari kutumia bilioni 61 kununua majengo matatu Marekani na imehalalishwa kwa sababu kuna matarajio ya matokeo bora huko mbeleni well.. hakuna wa kulalamika.

Kama mawasiliano tower imetucost 45bn sishangai hiyo:ukichanganya na gharama ya ndege ya raising Ndio kabisa mis allocation of funds.
 
Back
Top Bottom