Mfumo jike una cost ndoa nyingi

sual ni kuishi kitakatifu kwa mujibu wa maagizo ya Mwenyezi Mungu.....

mkate wa kila siku upi ambao mumeo hauleti?

mkifuata mafudisho ya Mungu hamtakaa kutalikiwa na kuitwa majina mabaya ya kidhalili.......


Hilo la utakatifu na kufuata maagizo ya Mungu si la mwanamke pekee, linahusu wote mme na mke. ajabu ni kwamba wanaume wengi wanataka wake zao wawe na utii, wema..etc lakini wao wawe vyovyote tu..it has never and will never work. mtu huvuna anachopanda. Na kuhusu talaka hiyo ni hasara ya wote wawili si ya mwanamke pekee maana hakuna anayeoa ili baadae aache au aachwe, na mara nyingi wanaume hawatoi talaka lakini unakuta wanawake ndio huondoka kwa kuchoka manyanyaso.
Binafsi naelewa kuwa ndoa ili iwe yenye furaha ni wanandoa wote wawili kutimiza majukumu yao, ikiwa mmoja tu ndiye anaejali, hiyo ndoa ni rahisi kuharibika.
 
kuna wanawake wengi tu wana hela zaidi ya waume zao lakini wanawaheshimu...wanawake wa aina hiyo unakuta walikua na kiburi toka hata hajawa na maendeleo...tabia hurithi..unazaliwa nayo
 
Mwanaume atakuwa kichwa cha familia siku zote, vitabu vyote vya dini vimesema unless mfuate tamaduni za kimagharibu.

Webondo ni kweli mume ni kichwa cha familia..lakini kichwa pasipo mwili hicho kichwa kimekufa na ikiwa kimepotoka basi familia pia utaharibikiwa. mume anatakiwa kuwa karibu na Mungu sana iliajue ipasavyo kuongoza familia yake, akijiendea tu ndo haya atayatumia madaraka aliyopewa vibaya-absolute power corrupts
 
Wanawake na wanyamaze katika kanisa maana hawana ruhusa kunena bali watii kama vile inenavyo Torati nayo. Nao wakitaka kujifunza neno lolote, nawawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao, maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.(1 Wakorintho 14:34-35).


Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu. (1 Timotheo 2:12)

Mstari huu ungetoka katika kile kitabu kingine bila shaka ingekuwa ni UKANDAMIZAJI WA MWANAMKE ! kumbe hata Torati na Injeel inaashiria kuwa mwanamke yu chini ya mwanaume ! Yoyo leo umenifurahisha sana na Aya hii , hakika nimeicopy na kuisave mahali mpaka hapo baadae nitakapotaka kuitumia ...
 
kiasili Mungu alimumba mwanaume na mwanamke kwa namna na jinsi tofauti.Mwanaume ni 'ranch chaser' while mwanamke ni 'nest defender'.Hivyo basi endapo kila mmoja atasimama katika nafasi yake hakutakuwa na ugonvi.Haki sawa kwa sasa inafanya kutokea kwa uvunjifu wa sheria asili za kimaumbile ndio maana ndoa nyingi zinaendelea kuvunjika kwa sasa.Wito wangu ni kwamba hata kama unamali au elimu kiasi gani heshimu ndoa yako/ mpenzi wako!...:A S-heart-2:
 
mwanaume kaumbwa amtawale vema mwanamke.....sio kum piga wala kumnyanyasa.....kutoka kazini na kufika nyumbani kumpikia mumeo,kudeki,kufua sio unyanyasaji......

mwanamke na akae nyumbhani kulea watoto sio kila siku semina haziishi hyatt hotel......unyanyasaji mnaosemema nyie ni majukumu yenu ambayo sasa hivi hamyataki kabisa......mko busy sana......mnasahau waume zenu ambao ndio maboss wenu duniani hapa......

mwanamke hapa duniani mumewe ni kama mungu wake...ndio anaemuongoza kwenye kila kitu......

wapendeni waumje zenu kama waume zenu wanavyowapendeni.......pia someni biblia na kuran mpate uelewa wenye hekima

Nina Mungu mmoja TU, mwanaume ni binadamu mwenzangu bwana...

Nitakuwa chizi kumtukuza kiumbe mwenzangu!!..NEVER!!
 
Nina Mungu mmoja TU, mwanaume ni binadamu mwenzangu bwana...

Nitakuwa chizi kumtukuza kiumbe mwenzangu!!..NEVER!!

Hehehe bora useme...

...Wanaume Kipimo umpimiacho mwenzio nawe utapimiwa hicho hicho, sasa nyie kaeni msubiri kupokea kuliko mnavyotoa kwa wenzenu...

Sina maana mbayaaaa

Sent from my BlackBerry Porsche using JamiiForums
 
mwanaume shuold be respected as head of the family ila hii haimpi yeye nafasi ya kumtawala mke.
kuharibiga kwa ndoa nyigi sio kwa sababu ya mfumo jike bali mmong'onyoko wa maadili, ugumu wa maisha na pia kutoheshimu ndoa.
 
Nina Mungu mmoja TU, mwanaume ni binadamu mwenzangu bwana...

Nitakuwa chizi kumtukuza kiumbe mwenzangu!!..NEVER!!

Mh! Never say never my dearest! Hata hivyo napata shida ninapotaka kubishana na mwanamke, nimesoma comments zenu wote, wanawake hawajajibu kwa kutumia busara zaidi ya kujisifia wana elimu na pesa, hiyo ndiyo picha halisi ya ndoa zao zilivyo. Nadhani SIO KILA MAHUSIANO YANATAKIWA KUISHIA NDOA MENGINE NI YA KUJIFUNZIA. Wanawake endelezeni moto huo huo tujenge jamii ya mahayawani. After all wanasema wanawake waliokulia kwa single parent especialy mama huwa wanakuwa na visirani visivyo na sababu kwa wanaume, i can smell them in here! Kubali ukweli na badilikeni.
 
Mh! Never say never my dearest! Hata hivyo napata shida ninapotaka kubishana na mwanamke, nimesoma comments zenu wote, wanawake hawajajibu kwa kutumia busara zaidi ya kujisifia wana elimu na pesa, hiyo ndiyo picha halisi ya ndoa zao zilivyo. Nadhani SIO KILA MAHUSIANO YANATAKIWA KUISHIA NDOA MENGINE NI YA KUJIFUNZIA. Wanawake endelezeni moto huo huo tujenge jamii ya mahayawani. After all wanasema wanawake waliokulia kwa single parent especialy mama huwa wanakuwa na visirani visivyo na sababu kwa wanaume, i can smell them in here! Kubali ukweli na badilikeni.

Its easier to be CRITICAL than to be CORRECT, Hapo kwenye bold si kweli..na kama wewe unabusara utaapologize kwa kusema wanawake hatujatumia busara..may be some lakini si wote.Na kuhusu kujenga jamii ya mahayawani (God forbid) kujenga jamii ni jukumu la wote si la mwanamke pekee..jamani hii dunia tunakaa wote na imeharibika kwa sababu ya matendo maovu yetu wote wanawake na wanaume. Wote pamoja na wewe Bondpost tukubali ukweli na tubadilike na jamii itakuwa bora.
 
Mh! Never say never my dearest! Hata hivyo napata shida ninapotaka kubishana na mwanamke, nimesoma comments zenu wote, wanawake hawajajibu kwa kutumia busara zaidi ya kujisifia wana elimu na pesa, hiyo ndiyo picha halisi ya ndoa zao zilivyo. Nadhani SIO KILA MAHUSIANO YANATAKIWA KUISHIA NDOA MENGINE NI YA KUJIFUNZIA. Wanawake endelezeni moto huo huo tujenge jamii ya mahayawani. After all wanasema wanawake waliokulia kwa single parent especialy mama huwa wanakuwa na visirani visivyo na sababu kwa wanaume, i can smell them in here! Kubali ukweli na badilikeni.

Darling you missed a very big point..Nikiolewa, nitaisimamia ndoa yangu imara kwa upendo..Suala la kumtukuza mwanaume hapana kabisa..nina imani kitakachotuunganisha ni upendo wa dhati. Hamna mahali nimezungumzia elimu wala pesa...

Bondpost ni mitizamo tofauti tu..mnataka mpendejwe jamani? muoshwe miguu?..mkipendwa na nyie mpendwe!!
 
Hizi ndizo sredi zenye ukweli ambazo kinamama hawapendi kuziskia.

Hii sredi inahitaji nobel prize. Nitafafanua baadae
 
Its easier to be CRITICAL than to be CORRECT, Hapo kwenye bold si kweli..na kama wewe unabusara utaapologize kwa kusema wanawake hatujatumia busara..may be some lakini si wote.Na kuhusu kujenga jamii ya mahayawani (God forbid) kujenga jamii ni jukumu la wote si la mwanamke pekee..jamani hii dunia tunakaa wote na imeharibika kwa sababu ya matendo maovu yetu wote wanawake na wanaume. Wote pamoja na wewe Bondpost tukubali ukweli na tubadilike na jamii itakuwa bora.

Tarajia kuniona siombi msamaha katika niliyoyasema, na nitayasimamia thabiti kwani huo ndio mtizamo wangu. Mie mke wangu namuheshimu sana tena hadi namuita malkia, huko sio kumtukuza? Mbona haoti mapembe? Ni mapenzi tu. Unamnyenyekea bosi wako ushindwe kwa mume? That is a point i was making. Kumbuka divorce zinachangia watoto wasio na malezi bora ukiangalia American black community imeathirika sana na suala la watoto kuharibikiwa na kuishia kwenye drugs na jela. Najua family inajengwa na wote thats why nikatoa jukumu kwa wanawake kujenga family kwani thread hii ilitaka tuongele yote hasa upande wa mwanamke. Unajua sio lazima ukiwa mwanamke, basi utetee kila jambo linalohusu mwanamke. Its not a fight rather we are trying to shape our society!
 
Tarajia kuniona siombi msamaha katika niliyoyasema, na nitayasimamia thabiti kwani huo ndio mtizamo wangu. Mie mke wangu namuheshimu sana tena hadi namuita malkia, huko sio kumtukuza? Mbona haoti mapembe? Ni mapenzi tu. Unamnyenyekea bosi wako ushindwe kwa mume? That is a point i was making. Kumbuka divorce zinachangia watoto wasio na malezi bora ukiangalia American black community imeathirika sana na suala la watoto kuharibikiwa na kuishia kwenye drugs na jela. Najua family inajengwa na wote thats why nikatoa jukumu kwa wanawake kujenga family kwani thread hii ilitaka tuongele yote hasa upande wa mwanamke. Unajua sio lazima ukiwa mwanamke, basi utetee kila jambo linalohusu mwanamke. Its not a fight rather we are trying to shape our society!

Alas if I argue with you! and I do not expect you to apologize. I do not support everything that women do neither do I criticize everything men do, in marriage both spouse need to reflect how they treat each other and learn to make improvements continuously. My point still stands that both men and women are responsible for the better and worse of our society today, calling your wife sweet names is good but being there for her is best.
 
Alas if I argue with you! and I do not expect you to apologize. I do not support everything that women do neither do I criticize everything men do, in marriage both spouse need to reflect how they treat each other and learn to make improvements continuously. My point still stands that both men and women are responsible for the better and worse of our society today, calling your wife sweet names is good but being there for her is best.

Nadhani kwenye post yangu nyingine nilitoa angalizo kuwa mie huwa sipendi kujibizana na mwanamke wa aina yeyote, awe bosi wangu, mamangu, dada au hata mke wangu! Mwanaume mwenye busara na msimamo wake huwa haangaiki na majibizano. Its either you are with me or not then we agree to disagree! Ni ngumu sana katika ulimwengu wa sasa kutaka kumwelesha mwanamke anaetaka kuweka usawa hadi kwenye masuala ya nature! Ndo maana ni bora kumuacha afanye anayodhani ni sawa then at the end most of them wanaishia kwenye frustration! Mapenzi yanatreatment ya kipekee, usijemuona mwanaume anampa gari mkewe, nyumba na pesa ya matumizi then mwanamke atake usawa wa kutandika hata kitanda, inabidi kuwa na uangalifu ili kudumisha mapenzi. Jaribu kuangalia waliofanikiwa katika ndoa! Ni ajabu kuona most of women they say men are dogs etc, while they still praise their fathers! Hii ni fact isiyopingika my friend, na inaonyesha mwanaume amekuwa na sehemu yake katika mchango wa kuijenga family. Tatizo nyie wa siku hizi kila kitu usawa wakati family ni yako pia, sasa kama mwenzio hajali then utaendelea kulaumu tu? Nampenda mke wangu kwani hilo ndilo jukumu nililopewa naye anajukumu la kuniheshimu ikiwemo kuheshimu mawazo yangu. Naamini Mungu alijua kuwa mwanamke ni rahisi kumdharau mumewe ndio maana akatoa amri hiyo the same applies to men!
 
wanawake naona mna pingana na maadiko si biblia wala qurain zote zimesama kuheshiwa kwa mwanaume na kichwa cha familia na kama mnabisha basi inamaana hata imani zenu zimekufa.
 
nikubali kuwa hii ni sredi nzuri. nadhani kabla ya kujiegemeza katika misahafu, ambayo yote ni ya kuja, hebu tulione katika mtazamo wa kiafrika zaidi. japo kuwa baadi ya mila za kiafrika ni kandamizi, lakini ziko clear kuhusu majukumu ya kila upande katika ndoa. kama waafrika tulipaswa kuboresha mifumo yetu ili iende na wakati. hili la usawa asili yake tuiangalie vizuri. asili yake si afrika. hii ni mbinu nyingine chafu ya wazungu ili kufarakanisha ndoa za watu weusi ili mwishowe watoto watokanao na ndoa hizo wawe ni hopeless/useless. kwa vile hatuna takwim za kiutafiti, binafsi naamini watoto walioharibikiwa wameongezeka mara dufu baada ya kuwepo madai ya usawa kwa wanawake katika ndoa. napendekeza wanaume kwa wanawake kujitambua kama waafrika wenye jukumu la kuzaa kizazi bora kitachoweza kuleta ukombozi wa mtu mweusi. achaneni na utamaduni batili na bandia wa kimagharibi.

capital
 
Back
Top Bottom