The Eagle2012
Senior Member
- Apr 3, 2012
- 117
- 28
Nyie wanaume mnafuata mpango wa Mungu?
kwa hiyo kama hatufuati ndiyo na nyny hamfuati?
Nyie wanaume mnafuata mpango wa Mungu?
mwanaume kaumbwa amtawale vema mwanamke.....sio kum piga wala kumnyanyasa.....kutoka kazini na kufika nyumbani kumpikia mumeo,kudeki,kufua sio unyanyasaji......
mwanamke na akae nyumbhani kulea watoto sio kila siku semina haziishi hyatt hotel......unyanyasaji mnaosemema nyie ni majukumu yenu ambayo sasa hivi hamyataki kabisa......mko busy sana......mnasahau waume zenu ambao ndio maboss wenu duniani hapa......
mwanamke hapa duniani mumewe ni kama mungu wake...ndio anaemuongoza kwenye kila kitu......
wapendeni waumje zenu kama waume zenu wanavyowapendeni.......pia someni biblia na kuran mpate uelewa wenye hekima
Ushauri wa bure; mnaonaje mkioana wenyewe kwa wenyewe ili ndoa zenu zidumu?
Mfumo jike is here to stay!
kwa hiyo kama hatufuati ndiyo na nyny hamfuati?
mwanaume kaumbwa amtawale vema mwanamke.....sio kum piga wala kumnyanyasa.....kutoka kazini na kufika nyumbani kumpikia mumeo,kudeki,kufua sio unyanyasaji......
mwanamke na akae nyumbhani kulea watoto sio kila siku semina haziishi hyatt hotel......unyanyasaji mnaosemema nyie ni majukumu yenu ambayo sasa hivi hamyataki kabisa......mko busy sana......mnasahau waume zenu ambao ndio maboss wenu duniani hapa......
mwanamke hapa duniani mumewe ni kama mungu wake...ndio anaemuongoza kwenye kila kitu......
wapendeni waumje zenu kama waume zenu wanavyowapendeni.......pia someni biblia na kuran mpate uelewa wenye hekima
mwanaume kaumbwa amtawale vema mwanamke.....sio kum piga wala kumnyanyasa.....kutoka kazini na kufika nyumbani kumpikia mumeo,kudeki,kufua sio unyanyasaji......
mwanamke na akae nyumbhani kulea watoto sio kila siku semina haziishi hyatt hotel......unyanyasaji mnaosemema nyie ni majukumu yenu ambayo sasa hivi hamyataki kabisa......mko busy sana......mnasahau waume zenu ambao ndio maboss wenu duniani hapa......
mwanamke hapa duniani mumewe ni kama mungu wake...ndio anaemuongoza kwenye kila kitu......
wapendeni waumje zenu kama waume zenu wanavyowapendeni.......pia someni biblia na kuran mpate uelewa wenye hekima
Ushauri wa bure; mnaonaje mkioana wenyewe kwa wenyewe ili ndoa zenu zidumu?
Mfumo jike is here to stay!
Kaunga,nakuheshimu sana,comment hii haiendani kabisa na reputation yako hapa jf,matusi si lazima uandike maneno ya matusi!
Najihisi umenitukana Kaunga!can u please apologize at least to me,who asks for your apology?if not to all men!
Nyie oaneni tu Mc Tilly Chizenga......ili muepuke hayo yote!!
Maanake mnaboa, kila siku mnalalama badala ya kucope na changes!
Maswali mengine bana!!!Dah. . .nwy sio sababu hata kidogo. Tunapaswa tufanye yote sisi wanawake, tuanze na majukumu mpaka sifa mnazotakiwa kuwa nazo nyie.
mwanaume kaumbwa amtawale vema mwanamke.....sio kum piga wala kumnyanyasa.....kutoka kazini na kufika nyumbani kumpikia mumeo,kudeki,kufua sio unyanyasaji...... mwanamke na akae nyumbhani kulea watoto sio kila siku semina haziishi hyatt hotel......unyanyasaji mnaosemema nyie ni majukumu yenu ambayo sasa hivi hamyataki kabisa......mko busy sana......mnasahau waume zenu ambao ndio maboss wenu duniani hapa...... mwanamke hapa duniani mumewe ni kama mungu wake...ndio anaemuongoza kwenye kila kitu...... wapendeni waumje zenu kama waume zenu wanavyowapendeni.......pia someni biblia na kuran mpate uelewa wenye hekima
unataka na wewe nikuombe uniombe msamaha?kamwe sitakaa nifanye hivyo Kipipi!ilikuwa ni kwa ajili ya heshima aliyojijengea Kaunga kwangu kama mwana-jf!
Kaunga,nakuheshimu sana,comment hii haiendani kabisa na reputation yako hapa jf,matusi si lazima uandike maneno ya matusi!
Najihisi umenitukana Kaunga!can u please apologize at least to me,who asks for your apology?if not to all men!
kwa hiyo kama hatufuati ndiyo na nyny hamfuati?
Kamwe sikulitaka hilo......
Kakondoo una ofa ya kiepe weekend maana hawa wavulana umewajibu sawia.
Alafu naona umenichunia siku hizi, sijui ni kwasababu nimekuwa mama yeyoo.