Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
- Thread starter
- #21
Wakuu, hapa tunaweza kuanza kumkumbuka Nyerere, tujiulize tulipigania uhuru kwanini? kwa sababu hatukutaka kunyanyaswa, kupuuzwa na kudharauliwa. mimi nimekasirishwa sana na kitendo cha polisi wetu kutemewa mate. Na kama ningekuwa na madaraka, huyu jamaa hatakiwi kuondoka in 24 hrs anatakiwa ashikishwe adabu kwanza kabla ya kuondoka. Kama serikali haiwezi kulinda utu wetu na heshima yetu na ya polisi wetu ingekuwa ni vizuri tutumie sheria zetu za jadi.
In fact ningekuwa mimi nimetemewa mate hiyo ingekuwa top story world over, sidhani hata m-canada yeyote anaweza kuunga mkno ujinga wa mcanada mwenzao.
Hii inaweza kuwa another test kwa serikali, kama kweli inaweza kulinda dignity yetu.
In fact ningekuwa mimi nimetemewa mate hiyo ingekuwa top story world over, sidhani hata m-canada yeyote anaweza kuunga mkno ujinga wa mcanada mwenzao.
Hii inaweza kuwa another test kwa serikali, kama kweli inaweza kulinda dignity yetu.