Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Talking about DNA, nadhani itakuwa vyema wakamfania DNA test huyu mtasha, nahisi one of his grand grand parent alikuwa Chatu au Cobra!
Mkuu hapo nikupata vyema! Kutemea watu MATE mara mbili lazima huyo MAMA ana asili ya NYOKA au jamii ya MAJOKA