The Gentleman Pirate
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 1,436
- 901
La bitchie ninja
daaaah!!!kwa hali hii ngoja sie tuendelee kubanjuka na wa tandale tu!!buku 5 tu inatosha xana
usione samaki mkubwa ukaogopa, uliza bei kwanza..!!!
dalali nipo hapa,sema dau lako mwisho sh ngapi huyo hataki milioni 50 wala nini smatyphone ya maana tu.na maneno laini laini tu,ila kati ya 6 pack na garden lovesijajua anapenda nini ila kuondoa usumbufu ni vyema ukawa navyo vyote.!
usione samaki mkubwa ukaogopa, uliza bei kwanza..!!!
mkuu huyo achana nae levo za kina mengi huyo usije ukamaliza mtaji wako bure.huyo unatuma m2 ya vocha alafu bado unabipiwa kisa umetuma hela ndogo.
basi nimegairi nataka mtu aniunganishe na wewe hapo mrembo
Ongea nae mpaka mwisho waweza mnunua hata kwa jero...
Kumbe mi wa bei ndogo hivyoo ayaaaa aaaaaa
Tunaemfahamu Naima tangu akiwa binti mdogo wala hatushangai hata kama anamegwa akiwa bado ni mke wa mtu...huyu binti ni full hasara!!!Mmh,...Huyu si mke wa mtu?? au alishaachwa??
dalali nipo hapa,sema dau lako mwisho sh ngapi huyo hataki milioni 50 wala nini smatyphone ya maana tu.na maneno laini laini tu,ila kati ya 6 pack na garden lovesijajua anapenda nini ila kuondoa usumbufu ni vyema ukawa navyo vyote.!
Daaaah!!!kwa hali hii ngoja sie tuendelee kubanjuka na wa tandale tu!!buku 5 tu inatosha xana