njoro
Senior Member
- Dec 21, 2010
- 178
- 8
Wana JF wengi wetu kutokana na kutokua na info,au kwa chuki tumekua tukipotosha kuwa waajiri hawataki graduates from UDOM.
To prove u guys wrong mwaka jana makampuni makubwa kama PRICEWATERCOOPERS(PWC) walikuja kutafuta wahitimu na kuwaajiri, Mwaka huu vile vile PWC wamekuja UDOM kujitangaza na kuchukua wahitimu wa kuwaajiri baadhi, Delloite, standard chattered, KPMG pia walikuja, na kuna idadi wa ya wahitimu kutoka UDOM ambao wameajiriwa na makampuni haya.
Rai yangu kwa WanaJF ni kuacha kupotosha na kusema ukweli kutokana na Facts
To prove u guys wrong mwaka jana makampuni makubwa kama PRICEWATERCOOPERS(PWC) walikuja kutafuta wahitimu na kuwaajiri, Mwaka huu vile vile PWC wamekuja UDOM kujitangaza na kuchukua wahitimu wa kuwaajiri baadhi, Delloite, standard chattered, KPMG pia walikuja, na kuna idadi wa ya wahitimu kutoka UDOM ambao wameajiriwa na makampuni haya.
Rai yangu kwa WanaJF ni kuacha kupotosha na kusema ukweli kutokana na Facts