Ambitious
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 2,144
- 875
'' mtoto acha kupiga mayowe,acha watu wayaone wenyewe''
UDOM ni chuo cha kata tu.juzi mmepewa pilau na nape mkasahau shida za Tanzania.
Irrelevant politics.
'' mtoto acha kupiga mayowe,acha watu wayaone wenyewe''
UDOM ni chuo cha kata tu.juzi mmepewa pilau na nape mkasahau shida za Tanzania.
'' mtoto acha kupiga mayowe,acha watu wayaone wenyewe''
UDOM ni chuo cha kata tu.juzi mmepewa pilau na nape mkasahau shida za Tanzania.
Mmmhh...Jackbauer hata na wewe.!!!???'' mtoto acha kupiga mayowe,acha watu wayaone wenyewe''
UDOM ni chuo cha kata tu.juzi mmepewa pilau na nape mkasahau shida za Tanzania.
Mbona mie nimepata? Senetor
huu ujinga wa kuponda chuo cha mwenzako, wana jf wenye tabia hii sijui wataacha lini,,,,, mwisho wa siku, hela is what matters,,, ni body will ask umesoma wapi!! As long as u r successful... Niulize hata mmoja wenu kati ya nyie mnaobishana, said salum bakhresa alisoma chuo gani????,,, it does not matter udom, udsm, havard o wherever!!,,, he is successful,, na ndo tunachoangalia!!!,,,, kuhusu suala la ajira, it is what u produce mdogo wangu,,, watu sku hizi wanaajiriwa hata wenye certificate, alimradi wanaproduce na kudeliver vizuri,, thats it!!,,,,
Mimi naona watu mnajadili ujingaaaaa mtupu siku hizi mtu kupata haangalii umetoka chuo gani bali
wanaangalia sifa zifuatazo
1.una reffereerr unayemfahamuu
2.umetokea ukoooo gani
3.umetokea familia ya nani
4.ww ni mtoto wa nani....katika nchii hiii
Tatizo la udom ni uongozi na wala sio mambo mengine
nani kakuambia walimu wanakatiliwa? Wewe umepata kwa sababu umesoma uticha
nani kakuambia walimu wanakatiliwa? Wewe umepata kwa sababu umesoma uticha
tuulize ma'human resource manager acha kujpa moyo, udom wengi mnatoka chuoni hamna kitu. Kwenye ofisi yetu wiki iliyopta graduates wa udom ndio walkuwa wengi bt hamna hata aliefuzu.
umeamua kudanganya makusudi.. UDOM ni chuo kibovu zaidi tanzania kama kuna kingine kama hiki kitaje
''Udom'!bado sana..better ulete story nyingine tu.kuna jamaa kama 20 nawajua wamesoma bcom udom na wamemalza mwaka juzi,cha kushangaza hawajawah kuitwa hata kwenye interview mpaka leo!
kweli hii fitina 2010_UDOM haikutoa B COM yoyote ile.
Chuo cha kata bhana