MBONA mapadri na mabruda wanakaa kwa lifetime yote bila kufanya!
MBONA mapadri na mabruda wanakaa kwa lifetime yote bila kufanya!
Jamani kuna mwanaume anauwezo wa kutofanya mapenzi kwa MIAKA 3? Mtu huyu hana tatizo lolote, yuko fit kabisaaa!Eti anakuwa anajizuia apatapo hamu ya kufanya tendo?Je inawezekana?
Huyu anakula, anshba na hana tatizo lolote (madeni n.k) halafu akae miakaa 3 bila sex?? Hapana hili ni tatizo la kisaikolojia, HAIWEZEKANI.
Kuna wengine hata kukaa siku mbili achilia mbali wiki haiwezekani - mimi nikiwa mmoja wapo.
Waulize wale masista wa Parokia, hivi huwezi kujuliza vile vituo vya watoto yatima kwa nini huwa kwenye enclosure ya Parokia mfano pale Msimbazi Centre?
Kuna uvumi kwamba wale watoto ni products za flirting between nuns and priests, once wazaliwapo mama mzazi aanapigwa transfer na kitoto kinapelekwa kwenye centre zao.