Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Mkuu inaelekea unapenda sana iyo kitu kama mimi ee!Mbona umekazana sana na Kumar? Sijaona ubaya na ID yangu, hata shule nilifundishwa kuhusu UBOHO. Je, na SHAHAMU nalo ni tusi?Mana kama uboho unaona si neno jema basi na shahamu utasema ni tusi. Loh, ivi jamani mnanipa ushauri au! Mana mnabishana vitu visivyo na msingi.
Unazima moto kwa petroli,.................
Nimeomba kubadili jina kama lako hili halina tatizo.
Nitaitwa KUMAR kama hawata badilisha lako kisha tuone wageni
wa JF wataionaje JF wakisoma comment za UBOHO na KUMAR.